Huku sio kujiamini..

SOKETI

JF-Expert Member
Jul 24, 2010
206
50
Kitendo cha CCM kuwakataza wagombea wake kushiriki ktk midahalo ya kisiasa ambayo inatoa fursa kwa wagombea kuongea na wananchi moja kwa moja ni kitendo cha kutokujiamini, udicteta na ukandamizaji wa democrasia ya kweli....Na CCM kama chama kikongwe kimeonyesha kushindwa kuonyesha ukomavu wake wa kisiasa na na kimepoteza mwelekeo wake wa kuwa chama chsiasa.
 
Hawana jipya la kuwaambia wananchi halafu kuna maswali tata ambayo hawataweza kujibu.
 
Natamani wangetoa nafsi ya kuliza maswali ningeshiriki kwenye kampeni zao. Maana nina maswali mengi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…