Kitendo cha CCM kuwakataza wagombea wake kushiriki ktk midahalo ya kisiasa ambayo inatoa fursa kwa wagombea kuongea na wananchi moja kwa moja ni kitendo cha kutokujiamini, udicteta na ukandamizaji wa democrasia ya kweli....Na CCM kama chama kikongwe kimeonyesha kushindwa kuonyesha ukomavu wake wa kisiasa na na kimepoteza mwelekeo wake wa kuwa chama chsiasa.