Huku Corona ikitua Nigeria, madaktari waanza mgomo wakidai maslahi yao

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,760
48,407
The Enugu State Ministry of Health says the purported strike embarked upon by the Association of Resident Doctors in Enugu State University Teaching Hospital, Parklane was ill-timed.

Permanent Secretary of the Ministry, Dr. Ifeanyi Agujiobi, said this in a statement signed on behalf of the state’s Commissioner for Health in the state on Sunday in Enugu.

Agujiobi said it was worrisome that the strike was coming at a time that the Federal Government and various state governments were grappling with the challenge of the new COVID-19 (Coronavirus).

Enugu govt kicks as doctors declare strike amid coronavirus cases
 
Duh, sasa hapo inabidi waskilizwe tu maana serikali ikikaza corona inaua mahalaiki ya watu
 
Hali ya maisha imewafanya kuwa hivyo. Na kingine wanachoka kuona wanasiasa wanapiga hela huku wao wakifanya kazi kwa bidii na mishahara kuwa kidogo.

Hilo kweli ila utaelekeza hasira zako kwa walalahoi? Hao wanasiasa wakiugua hata mafua wanaruka kwa pipa kwenda kutibiwa Ulaya, sasa wewe ugome kutoa huduma kipindi hiki cha Corona, walalahoi watakufa kwa maelfu, ila wanasiasa watakua wanatazama kwa TV.
 
Hilo kweli ila utaelekeza hasira zako kwa walalahoi? Hao wanasiasa wakiugua hata mafua wanaruka kwa pipa kwenda kutibiwa Ulaya, sasa wewe ugome kutoa huduma kipindi hiki cha Corona, walalahoi watakufa kwa maelfu, ila wanasiasa watakua wanatazama kwa TV.
Hiyo ni namna mojawapo ya kusema maisha sio fair. Wanahitaji kulipwa na hii itawaumiza maskini na walalahoi. Ndio maana kuna kipindi hapa TZ waligoma madaktari wakafukuzwa wote.
 
The Enugu State Ministry of Health says the purported strike embarked upon by the Association of Resident Doctors in Enugu State University Teaching Hospital, Parklane was ill-timed.

Permanent Secretary of the Ministry, Dr. Ifeanyi Agujiobi, said this in a statement signed on behalf of the state’s Commissioner for Health in the state on Sunday in Enugu.

Agujiobi said it was worrisome that the strike was coming at a time that the Federal Government and various state governments were grappling with the challenge of the new COVID-19 (Coronavirus).

Enugu govt kicks as doctors declare strike amid coronavirus cases
the doctors have taken advantage of the scenario to make money, they believe that if they induce fear to the gorvement officials, they will increase their salaries. ya its tit for tat, now we are all in doctors territories and they gonna dominate us all.
 
Back
Top Bottom