johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Bado nafanya Utafiti japo miaka ya 1980s hata hapa bongo Watoto wa wajeda walipendelea kuwa Wanajeshi na Watoto wa Mamwela walipendelea kuwa mapolisi
Namkumbuka Oscar Luhanga Mtoto wa Brigedia Jenelari Luhanga amefia jeshini akiwa captain, RIP Oscar
Tungekuwa na akina Muhoza na akina Kabila na sisi
Nawatakia Alhamis ya Amri yenye Baraka😀
Namkumbuka Oscar Luhanga Mtoto wa Brigedia Jenelari Luhanga amefia jeshini akiwa captain, RIP Oscar
Tungekuwa na akina Muhoza na akina Kabila na sisi
Nawatakia Alhamis ya Amri yenye Baraka😀