Hujuma za TANESCO

Hujuma za TANESCO

tocolyitics

Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
76
Reaction score
35
Siku kama kumi sasa kila ikikaribia taarifa ya habari ya saa mbili usiku umeme unakatika na kurudi mpaka taarifa ya habari iishe. Hapa Mwaza ndio madai ya wananchi wengi hawaelewi kwa nini mgao wa umeme ni wakati huo.
 
Nyinyi mna bahati kwani.mnakosa wakati wa taarifa ya habari tu. Sisi huku arusha ni kila siku kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 1 jioni.
 
Weekend wanakata tangu asubuhi saa kumi na mbili unarudi lkn ikikaribia taarifa ya habari lazima pia ukatike mpaka iishe.
 
Nyinyi mna bahati kwani.mnakosa wakati wa taarifa ya habari tu. Sisi huku arusha ni kila siku kuanzia saa 2 asubuhi mpaka saa 1 jioni.

Jana niameingia Arusha saa nne usiku kuanzia leganga USA mpaka nilipoishia kwa mrefu kwenda moshono kote kulikuwa hamna umeme, hata sasa huku town umeme hauko stable.
Bulb zinaungua kila muda
 
Back
Top Bottom