mama watoto wengi
Member
- Jan 9, 2013
- 39
- 30
Wanajamvini msinishangae mie kila siku wa kuomba ushauri .
Nina rafiki yangu mmoja kweli anatia huruma, kaolewa mwaka wa tano hapati mtoto katembea sana mahospitalini ila nashukuru Mungu sasa kapata dokta mzuri anaendelea nae kimatibabu.
Binasfi hajawahi shika mimba tangu azaliwe na wala hajui inaingiaje ila ameambiwa ana ovary cyst na fibroid sasa anatakiwa kufanyiwa operation. Je inawezekana baada ya haya akapata mimba? maana dokta alimuweka kwenye dawa maalumu za zoladex zimtoa uvimbe ila bado upo ndo kaamua amtoe tu hayo mauvimbe .
Sasa najiuliza, je baada ya hapo chance yake ya kuzaa inakuwa kiasi gani? Anatamani mtoto mpaka namuonea huruma.
Msaidieni mawazo pia muombeeni jamani nadhani kila mwanamke anajua kukosa mtoto kunauma kiasi gani.
Nina rafiki yangu mmoja kweli anatia huruma, kaolewa mwaka wa tano hapati mtoto katembea sana mahospitalini ila nashukuru Mungu sasa kapata dokta mzuri anaendelea nae kimatibabu.
Binasfi hajawahi shika mimba tangu azaliwe na wala hajui inaingiaje ila ameambiwa ana ovary cyst na fibroid sasa anatakiwa kufanyiwa operation. Je inawezekana baada ya haya akapata mimba? maana dokta alimuweka kwenye dawa maalumu za zoladex zimtoa uvimbe ila bado upo ndo kaamua amtoe tu hayo mauvimbe .
Sasa najiuliza, je baada ya hapo chance yake ya kuzaa inakuwa kiasi gani? Anatamani mtoto mpaka namuonea huruma.
Msaidieni mawazo pia muombeeni jamani nadhani kila mwanamke anajua kukosa mtoto kunauma kiasi gani.