GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Kuanzia sasa nikiwa nawaita Waandishi wa Habari mje mnipige Picha mkichelewa tu hata Sekunde chache eneo la tukio basi nitakuwa najipiga Picha mwenyewe na nazisambaza katika Media na Social Platforms mbalimbali, kwani nami najua vile vile na nimebobea kama vile mlivyoona leo huko Bondeni.
Nawasilisha.
Nawasilisha.