Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,234
Huenda jina la Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba likakosekana miongoni mwa watakaogombea urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwezi Oktoba mwaka huu.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Katika kipindi cha miaka 30, Profesa Lipumba amewahi kugombea urais mara tano na alipumzika mwaka 2015 baada ya chama chake, pamoja na vyama vingine vitatu kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kumsimamisha mgombea mmoja wa urais, Hayati Edward Lowassa.
Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Katika kipindi cha miaka 30, Profesa Lipumba amewahi kugombea urais mara tano na alipumzika mwaka 2015 baada ya chama chake, pamoja na vyama vingine vitatu kuunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) na kumsimamisha mgombea mmoja wa urais, Hayati Edward Lowassa.