Huduma NHIF Temeke hospital mbovu

Huduma NHIF Temeke hospital mbovu

MKAGUZI MKUU

Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
7
Reaction score
0
Ni zaidi ya saa 1 tupo katika foleni kusubiri mtoa dawa!haileweki ni nani na yupo wapi wahudumu wanaingia na kutoka!hospitali za serikali ni hovyo tu sasa hii ni hospitali ya wilaya huko katika zahati hali ikoje?tena kuna mgonjwa kaletwa katika machela anayemsaidia ni ndugu yake wahudumu wamekula bati!
 
Ukitaka kutumia bima yako kwa raha nenda kwa Docta Mvungi Kinondoni B.

Sina hamu na hospitali za serikali, walimshona bi mkubwa wangu bila ganzi pale Mwananyamala...
 
Back
Top Bottom