chief_massai
New Member
- May 1, 2021
- 1
- 0
Tangu week iliyoisha nimekuwa nikifuatilia utatuzi wa kufungua akaunt katika bank ya NBC lakin nimefadhaishwa sana na nimekereketwa na huduma mbovu zinazoendelea kutolewa na bank ya NBC tawi la Songea mjini kwani kufungua akaunt binafsi imenigharimu muda mwingi bila mafanikio yoyote ilihali ninaviambatisho vyote muhimu.