proxy JF-Expert Member Jul 3, 2016 1,479 1,348 May 19, 2017 #1 Wakuu Naomba kuuliza ni huduma gani naweza kuzitoa kupitia mashine ya Max malipo, na faida yake ikoje? Na upatikanaji wake wa hii mashine.
Wakuu Naomba kuuliza ni huduma gani naweza kuzitoa kupitia mashine ya Max malipo, na faida yake ikoje? Na upatikanaji wake wa hii mashine.
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 52,652 71,009 May 19, 2017 #2 Huduma za miamala ya kifedha...kulipia bili...kununua vocha...kununua umeme....kuuza ticket n.k wasiliana na ofisi ya max malipo iliyo karibu na wewe kwa msaada zaidi
Huduma za miamala ya kifedha...kulipia bili...kununua vocha...kununua umeme....kuuza ticket n.k wasiliana na ofisi ya max malipo iliyo karibu na wewe kwa msaada zaidi
Benjamini Netanyahu JF-Expert Member Aug 7, 2014 95,565 116,224 May 19, 2017 #3 Nenda Max malipo watakusaidia au google.