- Thread starter
- #21
Kwenye mabano huyo ni mwanaume mkuu kama sikosei jina lake ni Dennis Mandi.
hapa maejiprezent ki dadada so tunamchukulia kua ni dada mpaka tupruv.labda kama unamfaham.
Kwenye mabano huyo ni mwanaume mkuu kama sikosei jina lake ni Dennis Mandi.
Haya bana Tasia endelea kuota na kuenjoy maisha
kamanda, huyu jamaa lazima godoro lake litakuwa na map ya ulimwengu na capital cities zake. dah! hakyanani jamaa somo la jiografia hawez kufeli
hizo c*upi zako hazijapata mimba tu?
Uzinzi mtupu, huna adabu, unawaza ngono muda wote ndio maana waota uzinzi
Wajameniee ndoto wote najua mwazijua au kila mtua hapa alishaota.
Me hua naota nimemega sometime Maria Roza, first lady, lizzy, miss judy, Dena Amsi n.k ila sijawahi kuota hata mara moja kua nimeoa ingawa hua nawaza pia kuhusu kuoa.
Hii niaje??