HTC A9 32GB for sale

HTC A9 32GB for sale

DMussa

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2007
Posts
1,310
Reaction score
302
Nauza simu htc A9, imetumika miezi 4 tu.
Bei 800,000/- (negotiable)

Serious buyer pls PM me!

htc-one-a9-new2.jpg
 
Serious buyers are there for serious sellers....800k napata samsung note 5.
 
Serious buyers are there for serious sellers....800k napata samsung note 5.
Kila simu na ubora wake,kila mtu na chaguo lake.
Kuna watu huwaambii kitu kuhusu HTC.

Kama hununui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuharibu biashara za watu kwa kujidai much know.
Samahani lakini [emoji12][emoji126][emoji126]
 
Kila simu na ubora wake,kila mtu na chaguo lake.
Kuna watu huwaambii kitu kuhusu HTC.

Kama hununui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuharibu biashara za watu kwa kujidai much know.
Samahani lakini [emoji12][emoji126][emoji126]

HTC zina camera nzuri sana ila sasa zikianza kupata joto ni kama mtu anaumwa malaria
 
Ningekuwa sinunui ningekaa kimya...ila nimeongea kwa sababu nanunua shosti..
 
HTC zina camera nzuri sana ila sasa zikianza kupata joto ni kama mtu anaumwa malaria
Mkuu HTC gani uliyotumia ww ilikuwa na tatizo gani? Namshukuru Mwenyezi Mungu natumia HTC kwa zaidi ya miaka mitatu version tofauti tofauti bado tatizo hilo
 
Mkuu HTC gani uliyotumia ww ilikuwa na tatizo gani? Namshukuru Mwenyezi Mungu natumia HTC kwa zaidi ya miaka mitatu version tofauti tofauti bado tatizo hilo

Htc nyingi zina tatizo la ku-overheat...hata gsm arena wadau wanalalamika na mm kwangu ilikuwa hivyo hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom