Hp laptop inauzwa. Laptop imetumika lakini bado ipo kwenye hali nzuri sana.
-> Kioo kina ukubwa wa inchi 15
-> RAM ni 4GB
-> Hard disk yake ni 500GB
-> CPU ni duo core ya 1.6Ghz
-> Kipengele chake ni betri tu (betri imekufa lakini inapiga kazi freshi ikichomekwa waya wa kuchajia)
Kwa mawasiliano nicheki, simu/WhatsApp: +255 688 841884
Laki 1, Laki 2, Laki 3! Ahueni kipindi hicho niliwahi kumkamata mkulima fulani hivi huko kijijini PC ya aina hii, na ikiwa pia imekufa betri! kwa laki 2!
Laki 1, Laki 2, Laki 3! Ahueni kipindi hicho niliwahi kumkamata mkulima fulani hivi huko kijijini PC ya aina hii, na ikiwa pia imekufa betri! kwa laki 2!
Of couse bei inapungua lakini sio bei ya kopo. Hilo sio kopo, hiyo ni PC inayofanya kazi fresh. Kwanza ni slim na ya kisasa sio yale matofali yaliyojaa kariakoo.
Of couse bei inapungua lakini sio bei ya kopo. Hilo sio kopo, hiyo ni PC inayofanya kazi fresh. Kwanza ni slim na ya kisasa sio yale matofali yaliyojaa kariakoo.