Ayusema
JF-Expert Member
- Apr 23, 2011
- 549
- 189
Habari wana JF,
Msaada wenu nina laptop mbili HP Probook zote zinaleta kioo cheusi na fan inakimbia kwa speed sana wakati power button, wireless na caps key zina blink.
Nimejaribu kubadili RAM zimegoma, Nime unplug battery na kwenda nazo direct zimegoma..
Ushauri wenu wataalamu...
Nawasilisha.
Msaada wenu nina laptop mbili HP Probook zote zinaleta kioo cheusi na fan inakimbia kwa speed sana wakati power button, wireless na caps key zina blink.
Nimejaribu kubadili RAM zimegoma, Nime unplug battery na kwenda nazo direct zimegoma..
Ushauri wenu wataalamu...
Nawasilisha.