Wapendwa naomba kupata app ambayo itaniwezesha ku root simu tajwa hapo juu bila kutumia computer, hapo awali nilikuwa na tecno phantom plus nikairoot kwa kutumia kingroot lkn nilipojaribu kwa simu hii haikuwezekana, je nitumie ipi?
Bootloader ni kwa zile simu ambazo zimekuja na mitandao toka kiwandani kwa mfano simu za TiGO au Vodacom ambazo zimetengenezwa maalum kwa mitandao hiyo.
Bootloader ni kwa zile simu ambazo zimekuja na mitandao toka kiwandani kwa mfano simu za TiGO au Vodacom ambazo zimetengenezwa maalum kwa mitandao hiyo.