Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Wakuu za jioni
Nilinunua Huawei Hi-Link modem zile zenye web UI sasa mm nilikuwa sitaki iingilie kwenye browser bali ni dial kwa kutumia dashboard ikanibidi ku-install ile Mobile partner ya Kimox Kimokole lkn hamna kitu kilichoweza kunisaidia na kabla sijafanya hivo nilikuwa sijui kama hizi modem ni unique na maujanja mengi yalikuwa hayajatupiwa humu kuhusu hizi modem...Namshukuru Mungu iliendelea kusoma kwenye web UI ktk pc ya win 8.1 ambayo ni yangu ila nilipokuwa naweka pc za win 7 au nyinginezo ilikuwa inagoma sasa leo nimebadili windows na kuweka 8.1 lkn Kinachounguka ni LILE dashboard la Kimox na modem haisomi mtandao wala nn na kwen WEB haisomi wala haifanyi automatic connection kama siku zote...Yaani nimekosa Internet na nahisi kuumwa kabisa nisaidieni nime-Gogle mpaka nimechoka yyaani nimetoka Bila bila
Hii imefanana na ile dashboard ya Nyasiro
c.c gkiwango alishatoa ujanja wa ku-unlock lkn mm yangu iko unlocked tayari na bado inasoma kwenye web as per few days ago lkn dashboard bila bila
NAOMBENI:NTAIONDOA vipi hii customized M.partner au ntaifanya vp modem yangu ieendelee kusma kwenye WEB?
Natangaliza shukrani
Nilinunua Huawei Hi-Link modem zile zenye web UI sasa mm nilikuwa sitaki iingilie kwenye browser bali ni dial kwa kutumia dashboard ikanibidi ku-install ile Mobile partner ya Kimox Kimokole lkn hamna kitu kilichoweza kunisaidia na kabla sijafanya hivo nilikuwa sijui kama hizi modem ni unique na maujanja mengi yalikuwa hayajatupiwa humu kuhusu hizi modem...Namshukuru Mungu iliendelea kusoma kwenye web UI ktk pc ya win 8.1 ambayo ni yangu ila nilipokuwa naweka pc za win 7 au nyinginezo ilikuwa inagoma sasa leo nimebadili windows na kuweka 8.1 lkn Kinachounguka ni LILE dashboard la Kimox na modem haisomi mtandao wala nn na kwen WEB haisomi wala haifanyi automatic connection kama siku zote...Yaani nimekosa Internet na nahisi kuumwa kabisa nisaidieni nime-Gogle mpaka nimechoka yyaani nimetoka Bila bila
Hii imefanana na ile dashboard ya Nyasiro
c.c gkiwango alishatoa ujanja wa ku-unlock lkn mm yangu iko unlocked tayari na bado inasoma kwenye web as per few days ago lkn dashboard bila bila
NAOMBENI:NTAIONDOA vipi hii customized M.partner au ntaifanya vp modem yangu ieendelee kusma kwenye WEB?
Natangaliza shukrani
Last edited by a moderator: