How to remove customized Mobile partner in Huawei Hi-Link?

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Wakuu za jioni

Nilinunua Huawei Hi-Link modem zile zenye web UI sasa mm nilikuwa sitaki iingilie kwenye browser bali ni dial kwa kutumia dashboard ikanibidi ku-install ile Mobile partner ya Kimox Kimokole lkn hamna kitu kilichoweza kunisaidia na kabla sijafanya hivo nilikuwa sijui kama hizi modem ni unique na maujanja mengi yalikuwa hayajatupiwa humu kuhusu hizi modem...Namshukuru Mungu iliendelea kusoma kwenye web UI ktk pc ya win 8.1 ambayo ni yangu ila nilipokuwa naweka pc za win 7 au nyinginezo ilikuwa inagoma sasa leo nimebadili windows na kuweka 8.1 lkn Kinachounguka ni LILE dashboard la Kimox na modem haisomi mtandao wala nn na kwen WEB haisomi wala haifanyi automatic connection kama siku zote...Yaani nimekosa Internet na nahisi kuumwa kabisa nisaidieni nime-Gogle mpaka nimechoka yyaani nimetoka Bila bila
Hii imefanana na ile dashboard ya Nyasiro

c.c gkiwango alishatoa ujanja wa ku-unlock lkn mm yangu iko unlocked tayari na bado inasoma kwenye web as per few days ago lkn dashboard bila bila

NAOMBENI:NTAIONDOA vipi hii customized M.partner au ntaifanya vp modem yangu ieendelee kusma kwenye WEB?

Natangaliza shukrani
 
Last edited by a moderator:

Hiyo modem inatakiwa kubadilishwa / update firmware. Dashboard halisi ya hiyo modem inaitwa AIRCEL inafanana na dashboard ya huawei E303S .

Nikiwa kwenye pc nitakutumia maelezo pamoja na firmware ya ku unlock hiyo kitu.
 
Last edited by a moderator:
Hiyo modem inatakiwa kubadilishwa / update firmware. Dashboard halisi ya hiyo modem inaitwa AIRCEL inafanana na dashboard ya huawei E303S .

Nikiwa kwenye pc nitakutumia maelezo pamoja na firmware ya ku unlock hiyo kitu.

kaka ipo unlocked tayari mm nachotaka ni ifanye kazi kwa dial up kama modem ya kawaida au basi ijirudie ktk state yake ya web UI...
Kama dashboard ya AIRCEL itanisaidi kufanya dialing kama modem za kawaida ntahukuru sana....nakusubiri jembe
 
Hiyo modem inatakiwa kubadilishwa / update firmware. Dashboard halisi ya hiyo modem inaitwa AIRCEL inafanana na dashboard ya huawei E303S .

Nikiwa kwenye pc nitakutumia maelezo pamoja na firmware ya ku unlock hiyo kitu.

kaka kwenye pc unaingia saa ngapi nina kimodem cha kuazima hapa na ni full majanga ikifika kesho maana mwenye atakitaka
 
Modem zina matatizo sana mi modem yagu ni ztw lakin juu imeandikwa vodafone. Juzi juzi ilizingua ikaanza kuonyesha maandishi makubwa nikasema isiwe shida nkaamua kuiunistall na kufuta window kabisa maana nlikua nimeshaichoka ilikua ni window 8.1 nkaweka window 8.0 sasa tatizo linakuja hapa now mtu akinipigia simu nkipokelea kwwnye modem wananiuliza npo kwenye gari maana inapiga kelele sana. Je kuna mtu wakuweza kunisaidia?
 
njunwa wamavoko kuna trick nimesoma mahali ya kuswitch kati ya web ui au dashboard ya kawaida. since sijawahi ijaribu iyo trick nisiseme mengi.
 
Last edited by a moderator:
njunwa wamavoko kuna trick nimesoma mahali ya kuswitch kati ya web ui au dashboard ya kawaida. since sijawahi ijaribu iyo trick nisiseme mengi.

kama vipi itumie si ni ile ya kutumia terminal?
Mm hiyo terminal wanayoisema ilinishinda kabisa na run AT commands naishia kupata errors
 
Duh ! samahani sana kwa delay. PC yangu ililiwa na mdudu anaitwa WIN32:VITRO karibu wiki yote taabu.

hebu soma vizuri hapa chini.

STEP 1
Install modem yako kama kawaida

STEP 2
Install mobile partner yoyote latest(Haswa ile ya kwenye Zantel modem EC122)

STEP 3
chomoa na kuchomeka modem yako ya vodacom ya HILINK e303 ili ifungue browser yenyewe

STEP 4
browser ikifunguka ,
pale kwenye URL weka hii http://192.168.1.1/html/switchProjectMode.html

na computer itasema "FOUND NEW HARDWARE"

STEP 5
Nenda C:\Program Files\Mobile Partner\Driver\Driver\X86
hapo nimechukulia kwamba WINDOWS yako ipo kwenye drive C na unatumia 32Bit os

kama windows yako ipo kwenye location nyingine , basi wewe tafuta location ya folder la
MOBILE partner na ulifungue ndani hadi kwenye folder la driver na ufungue ndani ya folder hilo
la driver tena.
Tafuta file linaloitwa ewser2k.inf na ulifungue kwa notepad

STEP 6
Katika hilo file la ewser2k.inf ulilofungua , tafuta sehemu imeandikwa [QcomSerialPort]

shuka chini kidogo ya hapo. tafuta mstari ufuatao.
%QcomDevice01% = QportInstall01, USB\VID_12d1&PID_143E&MI_02

na chini ya mstari huo paste hizi line mbili hapa

%QcomDevice01% = QportInstall01, USB\VID_12d1&PID_1442&MI_00
%QcomDevice00% = QportInstall00, USB\VID_12d1&PID_1442&MI_01

SAVE AND CLOSE na baadae itaonekana hivi:
.
.
.
%QcomDevice01% = QportInstall01, USB\VID_12d1&PID_143E&MI_02
%QcomDevice01% = QportInstall01, USB\VID_12d1&PID_1442&MI_00
%QcomDevice00% = QportInstall00, USB\VID_12d1&PID_1442&MI_01
%QcomDevice01% = QportInstall01, USB\VID_12d1&PID_1448&MI_01
.
.
.
.

hapo kuna mistari mingine mingi sana sijaionesha.iache kama ilivyo.

STEP 7.

NENDA DEVICE MANAGER. right click huawei hilink yenye alama ya njano, and UPDATE driver
manually select location ya driver C:\Program Files\Mobile Partner\Driver\Driver\X86

CLICK OK. rudia hivyo tena kama itadai.

STEP 8
Fungua firmware loader(updater) then follow the few steps za ku-Update firmware and dashboard

Link ya fimware pamoja na mobile partner ipo hapo chini.

You Are Done!!!!



File 1:
File Name: Huawei_Mobile_Partner_23_for_windows_7_8_vista_xp.zip
File Size: 24.2 MB
Download Link: Download Huawei_Mobile_Partner_23_for_windows_7_8_vista_xp.zip from Sendspace.com - send big files the easy way

File 2:
File Name: E303HiLink11.010.06.02.910.exe
File Size: 13 MB
Download Link: Download E303HiLink11.010.06.02.910.exe from Sendspace.com - send big files the easy way

To download the files, simply click on the download links.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…