Naomba mnisaidie jinsi ya kununua domain ya blog yangu kwa kutumia local method yeyote inayowezekana maana sina account ya bank inayoweza kufanya online transaction nataka niwe na ........com ssiyahitaji maneno ya .blogspot.com
tafuta domain na bei yake na hela nitakununulia. fungua na account yako kabisa godaddy ila pia password yako ya godaddy nitaijua kama unaweza kutake hio risk
tafuta domain na bei yake na hela nitakununulia. fungua na account yako kabisa godaddy ila pia password yako ya godaddy nitaijua kama unaweza kutake hio risk
nenda banckABC kwa dar ipo msimbazi hope morogoro pia ipo, nunua visa card kwa shilingi 5000, huna haja ya kufungua acount unanunua tu visa card halafu hela kwenye hio card utajaza ofisini kwao au unaweza hata kujaza na mpesa then nunua domain. rahisi kabisa