How posh island was sold dubiously

kuwepo kwa hiyo hotel na kutokuwepo kwa hiyo hotel nini bora?kipi chenye faida?
mawazo kama haya bado kuna gap kubwa kati ya kuyakubali au kuyakataa.
Wakati Dr. Livingstone anafanya safari zake hakuna mtu na hasa locals aliyemchagulia njia labda kuuliza hatari iliyopo mbele!
Kwa maisha ya sasa yalivyo ni vigumu kuficha kitu kizuri na hasa natural resources. Ni jana tu nimeona BBC wanasema 'google earth'/map wako kwenye hatua za mwisho wa kuifanya hiyo sofrware iwe 'live', then you can imagine on what direction the planet moving to!!!
Hii habari inasikitisha lakini tutambue suala la msingi hapa ni sisi kuomboleza ujinga wetu na tuwaache hao waliotuzidi washerehekee uelevu wao.
Kwa hakika tungelikuwa na uwezo wa kuwaweka viongozi nha wasimamizi wenye uwezo wa kusimamia kwa umakini angalau nusu rasilimali zetu basi hata hiyo 1.3% ya bajeti ya elimu ingelikuwa na margin kubwa kuzidi hii ya sasa inayoliangamiza taifa!
God forbid!! ...asante sana Bw. Kaijage kwa habari yako ya kiuchunguzi
 
hivi nikifungua biashara lets say guest, bar,lodge,hotel au kiwanda natakiwa nimfahamishe mbunge au mkuu wa wilaya?
 
hivi nikifungua biashara lets say guest, bar,lodge,hotel au kiwanda natakiwa nimfahamishe mbunge au mkuu wa wilaya?

Unajua baadhi yetu wamejaa majungu,wivu na roho mbaya. Nchi hii ni kubwa sana,hawa wamefika huko kisiwani hakuna hata mtu anaishi,wamejenga kitu kizuri hivi.badala ya kuvutia uwekezaji zaidi tunaanza fitina!
 
Watanzania tuko wa ajabu sana . Mapori yamejaa huko singida, lindi, mtwara, njombe mtu unatembea na gari pori tupu mpaka unasahau. Hakuna mtu anayelima, kujenga wala kufuga. Katokea mtu kajenga hotel iwape ajira na kuwafungua akili mnaanza wivu na maneno. Si mngejenga nyie wazawa maana mapori yapo tokea kabla ya uhuru
 
Kuwaruhusu wageni kujufanyia mambo wanayoyataka kwa kutumia mwavuli wa "kuwavutia wawekezaji" kutawafanya waue wenyeji, wawalazimishe wenyeji kufanya ngono na wanyama, kuwafanyisha kazi wenyeji kwa ujira mdogo, wawekezaji kutolipa kodi na UVUNDO MINGINE MINGI.
Leo hii tunashuhudia, kupitia TV, Wachina wakichoma mali ya Wajapan kutokana na mauzo ya kisiwa.
Nasikita sana, tena sana pale Watanzania wanaposherekea mali walizoachiwa na Wazee wao zikitolewa kama zawadi kwa wageni bila ya mamlaka za juu ya nchi kujua.

Watanzania wengi tunapenda vya bure, tunapenda Wageni wawekeze kisani sani, huku tukitarajia tupewe kodi. Watanzania, kwa uzembe huu wa kusifia 'rafu' kutatufanya tuwe vibarua.
 
Back
Top Bottom