spika
JF-Expert Member
- Dec 7, 2014
- 458
- 426
Kwa hiyo mmekubali kusemewa na wazungu kwa sababu tu ya kiingereza, Mzungu hata akitukana mzazi wako kwa kiingereza nyie mnaunga mkono tu. Hivi mnafikiri itatokea wazungu watawasifia nyie wamatumbi kwamba mmefanya vizuri na hivi maraisi wao ndio wako safi na wanavyoua watu wasio na hatia ni poa kwa kuwa wao wazungu.
Watu wote waseme hata waingereza? hivi hawajui ni kiasi gani wametunyonya na wao kutajirika kwa huu ulimbikeni wenu wa kukenua hawa jamaa wanavyowatusi.
Hata kama JK anamapungufu lakini sio hizi post zenu za kihuni na zisizo na adabu hata kwa watu wenu hivi msaada ya wazungu mnsahau nyie ndio mnaowapelekea taarifa wasitoe misaada kwa ndugu zenu? Hivi nyie wamatumbi mnaweza kununulia ARV watu wote waliokuwa tested +ve bila kick kutoka kwa mabepari. Rada na Escow mbona zote Britons wametajwa katika kuuza na bank yao haikuguswa.
Kujizalilisha huku sio tu kwamba mnatusi JK tu hata na nyinyi wenyewe mmo na wazazi wenu pia.
Mkuu nakuunga mkono..wanaweza kujadili wapendavyo juu ya kodi zao lakini si kututukana, twende huku twende kule JK ana madhaifu mengi lakini hilo halimpi mamlaka yeyote ambaye si mtanzania kumtukana.