kama inavyoonekana nyumba ipo madale goba mpakani
ukubwa wa eneo ni robotatu ekari
kuna tofali
limepakana na barabara
nyumba ina:
Master
vyumba vitatu vyoo na bafu vya ndani
jiko na store
sebule kubwa
bei maelewano
contacts 0784821832
nyumba hii pia ipo madale imepakana na shule ya sekondari kisauki(e) madale karibu na barabara ya wazo-madale sifa za eneo na nyumba
ina master 1
vyumba vi3
choo na bafu ndani
choo cha nje
jiko na store
sebule kubwa
sakafu tiles(marumaru)
fremu 3 za maduka
pipa (sim tank kwa nje)
ukubwa wa kiwanja ni 50x45
kwa wanaohitaji
bei ni maelewano
contacts
0784821832
0714812375
mkuu angalia na ukubwa wa eneo lenyewe halafu aina ya nyumba na ukisasa wake milioni20 kwa maeneo kama sehemu ilko nyumba, hata ekari tupu hupati kwa bei hiyo
kama uko makini mwenyewe ananzia mil50
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.