housegirl

Cutie M

Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
14
Reaction score
2
jamani natafuta dada wa kazi mwenye access nae anisaidie,asiwe mdogo sana awe na umri at least kuanzia miaka 18 na kuendelea
 
Kwa ushauri wangu; tafutadada ambaye unamfahamu au kuna ndugu /jamaa anayemfahamu. La sivyo utalia kilio cha mbwa mwizi...

**** wadada mawakala wa wezu, majambazi na washirikina.
 
Nenda kwenye makampuni, kule ndio uhakika akizingua unapewa mwngn.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…