Ha ha haaa, umenifurahisha sana mkuu Tuko,sijacheka kama nilivyocheka leo siku nyingi.Ndo maana sipendi kutumia touch.Touch screen inaweza kukuumbua. Mi kuna siku nilikuwa namuandikia shem wangu msg nikitaka kumuomba aje hom, badala ya j nikagusa k... msg ikasomeka "naomba uke mara moja".
Niliogopa maana ingekuwa mama mkwe...
Last edited by a moderator: