House for sale

House for sale

Sio mchezo Mkuu!
hiyo nyumba million 60 tu
Nilikuwa nataka nimnunulie dogo mmoja huko home, amezidi kuomba kodi ya nyumba za kupanga kila mwaka.

Magu akiendeleza uzi huu kidogo tu, dogo anaweza kupata nyumba mjini, ashindwe mwenyewe kuchakalika vingine.

Maana mtu akishamaliza mpambano wa mahali pakukaa kwingine mteremko.
 
Nilikuwa nataka nimnunulie dogo mmoja huko home, amezidi kuomba kodi ya nyumba za kupanga kila mwaka.

Magu akiendeleza uzi huu kidogo tu, dogo anaweza kupata nyumba mjini, ashindwe mwenyewe kuchakalika vingine.

Maana mtu akishamaliza mpambano wa mahali pakukaa kwingine mteremko.
Mchukulie hiyo mkuu!
kwa dar hiyo bei Ni nzuri ila ya kuwa makini na maeneo isije kuwa lukuvi anainyapia nyapia
 
Mchukulie hiyo mkuu!
kwa dar hiyo bei Ni nzuri ila ya kuwa makini na maeneo isije kuwa lukuvi anainyapia nyapia
Kati ya maeneo yasiyo na migogoro ya ardhi kati ya watu na watu au wananchi na serikali basi KITUNDA ni moja wapo.
It's safe area!
 
Nilikuwa nataka nimnunulie dogo mmoja huko home, amezidi kuomba kodi ya nyumba za kupanga kila mwaka.

Magu akiendeleza uzi huu kidogo tu, dogo anaweza kupata nyumba mjini, ashindwe mwenyewe kuchakalika vingine.

Maana mtu akishamaliza mpambano wa mahali pakukaa kwingine mteremko.
Room for negotiations is available!
 
Extremely discounted.
 
Ndio Nyumba ya kwanza duniani kuiona ina sehemu za nje tu alafu ndani hakuna.
 
Kumbe bado hii Nyumba haijauzika? Nimeamini vyuma vimebana mno karibia kukatika.
 
Ndio Nyumba ya kwanza duniani kuiona ina sehemu za nje tu alafu ndani hakuna.
Sidhani kama ingeongeza au kupunguza jambo mkuu!
Kwa hizo attached images nilizoweka kwa muhitaji sidhani kama angeuliza picha za ndani zaidi zaidi angehitaji kuja kuiona physically!
 
Nyumba bado ipo na bei imepungua sana tu.
Mnakaribishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom