- Thread starter
- #21
Neo ipo kwenye tangazo! Laki naneunazungukazunguka tu sema bei laki sita mtu akija akapaona panafaa atakupa hata laki saba akiona haendani na ulichosema ndipo maelewano sasa unashindwa nini kutoa bei elekezi
Neo ipo kwenye tangazo! Laki naneunazungukazunguka tu sema bei laki sita mtu akija akapaona panafaa atakupa hata laki saba akiona haendani na ulichosema ndipo maelewano sasa unashindwa nini kutoa bei elekezi
Hiyo fala umesema wewe! Nyumba haiuzwi bali inapangishwa. Bei ipo kwenye tangazo.Muuzaji inaelekea hana nia ya kuuza,Mteja kwako fala inaelekea
Nimeweka kila kitu ndugu
Wapi umeweka bei unajiumauma au nyumba ina mizimu unataka mtu akufate huko mmalizane akutane na vibwengo?nyumba kama ya kuabdia mashetani haina mwonekano wa nyumba inayoishi watu hapana bwana weka bei.Nimeweka kila kitu ndugu
Bei
Mahali ilipo
No za vyumba
Kuna umeme, maji
Parking nk
Acha roho mbaya.Wapi umeweka bei unajiumauma au nyumba ina mizimu unataka mtu akufate huko mmalizane akutane na vibwengo?nyumba kama ya kuabdia mashetani haina mwonekano wa nyumba inayoishi watu hapana bwana weka bei.
Hapana Mkuu,Mimi nina maelewano mbili hivi za kitanzania sijui inakufaa