Hostel karibu na DIT

Bro kwan vip hadi kujuta??? Cjakuelewa hapo. N vyema utueleweshe poa!!
 
Bro chumba kinabeba watu wangap chuo hapo hiv!!
 
We mgeni wa dar ama mbona una maswali ya kiduanzi

OK kwa mwendo kasi ndani ya dk 10 DIT by the way mpe hi Prof kondolo ukienda .
Yan we ukishaona maswali n ya kiduanze ujue anaeuliza sio mwenyej! We ulishakuw mwenyeji ndo mana waona maswali ya kiduanzi!!! Ila cha msingi hapa ni kuelekezana tu. Japo maswali mengne yatakuw yanaudhi kwa waliokwisha tangulia, ila kwa faida wanaotarajia kuanza mwaka cku za karbuni!! Shukran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…