kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza hususani wanao tokea mikoani huwa wanapewa rooms, bachelor mwaka wa1 huwa wanapangiwa chang'ombe kuna block lao moja pale ada ni Tsh. 100,000/= kwa mwaka.
Ushauri: ni bora ukakae hostel za chuo kwa mwaka1/semista1 ili usome mazingira ya Dar then ukapange.
Karibu mjini