Hospitali ya Bugando: Idadi ya wagonjwa yapungua

Hospitali ya Bugando: Idadi ya wagonjwa yapungua

Entim

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2013
Posts
4,024
Reaction score
2,271
Nimeshinda hapa BMC idadi ya wagonjwa imepungua na kwa makadiridio ni kama wagonjwa wanaotibiwa hapa ni 50percent. Mwenye kufahamu sababu ni nini haswa.
 
Mkuu hapo BMC ni wajanja sana.
Walichokifanya ni kuongeza gharama za matibabu.
Kwa mfno kufungua file tu inakadiiliwa kufka 50000/= sasa kwa nn watu wasipungue.
Nmekutana na watu weng wa maisha ya kawaida na ya chini wanadai gharama za Bugando hawazwezi kwa sa iv kwa hyo wanakimbilia Sokoe Toure.
 
Hospital siku hizi zimekua biashara na hakuna kipya wafanyacho
 
Zamani watu walikuwa wanaenda tu Bugando hata kama anajisikia homa anataka kupima malaria,siku hizi huwezi kuhudumiwa pale kama huna barua ya rufaa...kwa hiyo wagonjwa wanaelekezwa kwenda Sekou Toure au Butimba...vinginevyo unalipia elfu 20,ili ufungue fail na kuanza huduma za pale
 
Zamani watu walikuwa wanaenda tu Bugando hata kama anajisikia homa anataka kupima malaria,siku hizi huwezi kuhudumiwa pale kama huna barua ya rufaa...kwa hiyo wagonjwa wanaelekezwa kwenda Sekou Toure au Butimba...vinginevyo unalipia elfu 20,ili ufungue fail na kuanza huduma za pale
nahisi mahakama ya kadhi ikianzishwa wapatandisha garama mtafungua file kwa laki sasa.
 
Sasa mahakama ya kadhi inahusiana vp hapa?
kuna watu washalalamika sana hapa wanadai wakiingia kutibiwa bungando hawapendi kuona misalaba misalaba katika hiyo hospitali na pamoja na kwamba wanatibiwa wanaomba serikali iondoe MOU hospitali zisipate ruzuku kidogo ili zijiendeshe zenyewe zisiwe designated. sasa kwa bei hizo ni kwamba hizo ni designated hospitals kwa maana kwamba serikali imeona haina hospitali ikaziomba hospitali za dini ziwe rufaa kwa kupata ruzuku kidogo. wagonjwa wakitibiwa wakapona wanataka ruzuku hiyo iondolewe, ila wanaongea wakiwa wazima, wakiugua tu wanafumba domo na kukimbilia hospital. sasa si bora iondolewe MOU iwe private kabisa ili watu waende pale na hela ya kushiba kuliko hizo ruzuku za manyanyaso? ndiko tunakoelekea.
 
Wapungue tu.. Mi ni mkristo ila nawalaani bugando walivyonibagua ktk usaili wa kazi kwa kuwapa kazi watu kiundugu
 
kuna watu washalalamika sana hapa wanadai wakiingia kutibiwa bungando hawapendi kuona misalaba misalaba katika hiyo hospitali na pamoja na kwamba wanatibiwa wanaomba serikali iondoe MOU hospitali zisipate ruzuku kidogo ili zijiendeshe zenyewe zisiwe designated. sasa kwa bei hizo ni kwamba hizo ni designated hospitals kwa maana kwamba serikali imeona haina hospitali ikaziomba hospitali za dini ziwe rufaa kwa kupata ruzuku kidogo. wagonjwa wakitibiwa wakapona wanataka ruzuku hiyo iondolewe, ila wanaongea wakiwa wazima, wakiugua tu wanafumba domo na kukimbilia hospital. sasa si bora iondolewe MOU iwe private kabisa ili watu waende pale na hela ya kushiba kuliko hizo ruzuku za manyanyaso? ndiko tunakoelekea.



Kwa hyo na hospitali za kiislam zinaxopata ruxuku zitaondoa maandishi yenu ya kiarabu yale....


Kwanza serikali kiherehere chake tu kuepeleka ruzuku.. Wakristo hatuhawahi shindwa kuendesha taasisi zetu
 
Kwa hyo na hospitali za kiislam zinaxopata ruxuku zitaondoa maandishi yenu ya kiarabu yale....


Kwanza serikali kiherehere chake tu kuepeleka ruzuku.. Wakristo hatuhawahi shindwa kuendesha taasisi zetu
andika na wewe kama mtu anaejielewa ma xxxx ndio kiswahili cha wapi hicho acha uboya
 
Mkuu hapo BMC ni wajanja sana.
Walichokifanya ni kuongeza gharama za matibabu.
Kwa mfno kufungua file tu inakadiiliwa kufka 50000/= sasa kwa nn watu wasipungue.
Nmekutana na watu weng wa maisha ya kawaida na ya chini wanadai gharama za Bugando hawazwezi kwa sa iv kwa hyo wanakimbilia Sokoe Toure.

Na hiyo ndo sababu kuu, nyingine ni kuwa dawa hazitolewi pale wala kuuza pale wanadai wananchi wanasema eti kuwa wanawaibia wanapoandika gharama ya dawa. kama hutanunua dawa ulioandikiwa kwenye phamacy na kuwapa wampe mgonjwa wako basi mgonjwa wako atakufa hiv hivi bila hata kupewa PCM, na wala hawakuambii kuwa kanunue dawa, waandika then wanakuacha hewani hewani
 
Kwa hyo na hospitali za kiislam zinaxopata ruxuku zitaondoa maandishi yenu ya kiarabu yale....


Kwanza serikali kiherehere chake tu kuepeleka ruzuku.. Wakristo hatuhawahi shindwa kuendesha taasisi zetu
ziko wapi?tukibaguana kidini kuna watu hawatatibiwa hapa tz zaidi ya kwenda kupata panado kwenye vihospitali vya seirkali.
 
Kuna hospitali ya dini ya ndevu nying hii nilienda nikaambiwa kabisaa hatuhudumii makafiri... Ahahahahah hawa jamaa hawa lohhhhhh
 
Nimeshinda hapa BMC idadi ya wagonjwa imepungua na kwa makadiridio ni kama wagonjwa wanaotibiwa hapa ni 50percent. Mwenye kufahamu sababu ni nini haswa.

50% ya nini?
 
Kuna hospitali ya dini ya ndevu nying hii nilienda nikaambiwa kabisaa hatuhudumii makafiri... Ahahahahah hawa jamaa hawa lohhhhhh

Duh, pole ndugu uwe makini ukienda sema jina lenye mfungamano na wao, la sivyo ukisema unaitwa Frank, Christian, nk unaweza kuhudumiwa kisawasawa na haitoishi
 
Back
Top Bottom