A Anonymous Caller JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 1,213 Reaction score 1,627 Apr 9, 2025 #1 Wamejitahidi kucheza kwa nidhamu sana.ni timu mpya ambayo uwepo wake ni August mwaka jana. Valentino Nouma hastahili kuwa benchi.
Wamejitahidi kucheza kwa nidhamu sana.ni timu mpya ambayo uwepo wake ni August mwaka jana. Valentino Nouma hastahili kuwa benchi.
Chibike JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 4,910 Reaction score 7,562 Apr 9, 2025 #2 Hata mukwala hastahili kabisa kua benchi...kweli straika unamueka mwenye kitambi unamuacha alie fit sijawahi kuona hii kokote...akina mavambo...
Hata mukwala hastahili kabisa kua benchi...kweli straika unamueka mwenye kitambi unamuacha alie fit sijawahi kuona hii kokote...akina mavambo...
A Anonymous Caller JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 1,213 Reaction score 1,627 Apr 9, 2025 Thread starter #3 Maforwad ni adimu mno
Kalpana JF-Expert Member Joined Jun 16, 2017 Posts 35,667 Reaction score 70,302 Apr 9, 2025 #4 Almasry ni timu mpya??????? Hii ni ajabu
Ng'wanamangilingili JF-Expert Member Joined Aug 22, 2015 Posts 5,787 Reaction score 4,875 Apr 9, 2025 #5 Kalpana said: Almasry ni timu mpya??????? Hii ni ajabu Click to expand... Anamamisha simba