Hongereni Simba, al Masry amesakwa

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
1,393
Reaction score
1,896
Wamejitahidi kucheza kwa nidhamu sana.ni timu mpya ambayo uwepo wake ni August mwaka jana.

Valentino Nouma hastahili kuwa benchi.
 
Hata mukwala hastahili kabisa kua benchi...kweli straika unamueka mwenye kitambi unamuacha alie fit sijawahi kuona hii kokote...akina mavambo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…