Hongereni CCM kwa kuishtukia hafla ya mchapalo

njeeseka

JF-Expert Member
Oct 19, 2012
1,373
983
Nawaza tu ile paty iliandaliwa na wale jamaa wa umoja wa ulaya tulioaminishwa kuwa walidhamiria kuipeleka znz kwa CUF na kuihenyesha Tanzania.
Katika uchaguz wa wabunge wanaoiwakilisha Tanz kupitia CDM kuliandaliwa pati muda uleule wa kufanya uchaguz na kutangaza matokeo.
Nilisikia mhe.. Mmoja anasema, ccm wanaweza kuondoka tu wakatuachia maana hizi ni nafasi za cdm...mmmmmh thubuutu.
Ha ha haaaa mengine simalizii nadhani mhe..spika aligundua janja akasema mm sitatoka hadi matokeo yatangazwe.
Hongereni kwa vichinjio.
 
Nawaza tu ile paty iliandaliwa na wale jamaa wa umoja wa ulaya tulioaminishwa kuwa walidhamiria kuipeleka znz kwa CUF na kuihenyesha Tanzania.
Katika uchaguz wa wabunge wanaoiwakilisha Tanz kupitia CDM kuliandaliwa pati muda uleule wa kufanya uchaguz na kutangaza matokeo.
Nilisikia mhe.. Mmoja anasema, ccm wanaweza kuondoka tu wakatuachia maana hizi ni nafasi za cdm...mmmmmh thubuutu.
Ha ha haaaa mengine simalizii nadhani mhe..spika aligundua janja akasema mm sitatoka hadi matokeo yatangazwe.
Hongereni kwa vichinjio.
Acha uongo,huyo mheshimiwa hakusema ccm wanaweza kuondoka,aliposema kuwa hawa ni wagombea wa chadema tu alimaanisha zoezi halitachukua muda mwingi kumalizika hatimaye matokeo kutolewa,hata hivyo alisema ambaye( yeyote yule na si ccm tu) hataweza kusubiri matokeo basi apige kura aondoke

Muwe mnaficha basi hizo kamasi zenu za kichwani
 
Acha uongo,huyo mheshimiwa hakusema ccm wanaweza kuondoka,aliposema kuwa hawa ni wagombea wa chadema tu alimaanisha zoezi halitachukua muda mwingi kumalizika hatimaye matokeo kutolewa,hata hivyo alisema ambaye( yeyote yule na si ccm tu) hataweza kusubiri matokeo basi apige kura aondoke

Muwe mnaficha basi hizo kamasi zenu za kichwani
Lete hansadi ya kikao cha tar 10/05/2017. Ha ha haaaa
 
Acha uongo,huyo mheshimiwa hakusema ccm wanaweza kuondoka,aliposema kuwa hawa ni wagombea wa chadema tu alimaanisha zoezi halitachukua muda mwingi kumalizika hatimaye matokeo kutolewa,hata hivyo alisema ambaye( yeyote yule na si ccm tu) hataweza kusubiri matokeo basi apige kura aondoke

Muwe mnaficha basi hizo kamasi zenu za kichwani
Halafu jana kikao kilikuwa mubashara hivyo toa povu
 
Back
Top Bottom