Hongera South Sudan!

Muda si mrefu South Sudan itakaa kuamua jina jipya la nchi yao.
Jee unapendekeza jina gani?.Mji mkuu uwe Juba au wapi?.Lugha ya taifa iwe kiarabu au Kiswahili
 
hiyo ndiyo ishapita hivyo na si ajabu tena kupata mwanachama mpya wa UN, AU nk, ...the quiz is who will be next???
 
teh teh tanganyika na lugha rasmi iwe Kiswahili. wanakijua kiswahili? isije ikawa sawa na kutangaza lugha rasmi Mwanza iwe Kizaramo
 
[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD="class: contentheading"]Sudan Kusini kuanza kutumia sarafu mpya hivi karibuni
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


[TABLE="class: contentpaneopen"]
[TR]
[TD]Serikali ya Sudan Kusini imesema itaanza kutumia sarafu yake mpya katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Elijah Malok, Gavana wa Benki Kuu ya nchi hiyo mpya amesema kuwa, sarafu ya nchi hiyo itakuwa pauni yenye picha ya John Garang, kiongozi wa harakati za kupigania uhuru wa Sudan Kusini. http://kiswahili.irib.ir/index.php?option=com_content&view=article&id=18717:hivi&catid=1:latest&Itemid=74
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Jina lilishaandaliwa siku nyingi......REPUBLIC OF EQUATORIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…