Mugabe one
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 2,327
- 1,681
Siku nyingi nilikuwa nawaza huyu Lisu yuko huko anatukama serikali, anatukana Bunge lakini posho zake anapewa je sheria zilifichwa au ubinadamu ilitumika zaidi
kwa Lisu maana watu wengine ikifika miezi sita tu kazini haupo ni kelele tupu.
Nampongeza spika kwa uamzi wake wa kusitisha posho Na mshahara wa Lisu kwa sababu huyo Lisu ni jeuri unaweza ukadhani anatumia ndumu kwa sana.
Hongera sana Musukuma kwa kuomba mwongozo uliozaa matunda mema. Maana ukirejeshwa serikalini huo mshahara Na posho zitaenda kusaidia wananchi wa Ikungi wapate hata kisima cha maji.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa Lisu maana watu wengine ikifika miezi sita tu kazini haupo ni kelele tupu.
Nampongeza spika kwa uamzi wake wa kusitisha posho Na mshahara wa Lisu kwa sababu huyo Lisu ni jeuri unaweza ukadhani anatumia ndumu kwa sana.
Hongera sana Musukuma kwa kuomba mwongozo uliozaa matunda mema. Maana ukirejeshwa serikalini huo mshahara Na posho zitaenda kusaidia wananchi wa Ikungi wapate hata kisima cha maji.
Sent using Jamii Forums mobile app