Hongera sana Mh. Mbowe na UKAWA

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,914
43,504
Wasalaam wana jamvi,

Ni wazi kabisa mtu akifanya jambo jema ana stahili pongezi bila kujali anatokea wapi au ni mlengo gani!

Kwa kweli tangu Mh Magufuli kupitia CCM kupata ushindi na kuianza kazi waliyotumwa na watanzania kila mtu ameshuhudia kabisa nchi imekuwa na utulivu mkubwa sana na UKAWA wamekuwa wakitii sheria bila shuruti.

Miaka iliyopita ilikuwa haiwezekani UKAWA kupitisha wiki mbili bila kutoa tamko au kuitisha maandamano hasa kwenye miji ya Mwanza, Arusha na Dares-salaam na hata wakiambiwa hakuna kuandamana basi watagoma na kuandamana na kupelekea wafuasi wao kujeruhiwa huku Mbowe na wenzie wakijifichi.

Kusema ukweli Mbowe na UKAWA siku hizi wamekuwa watii na wamekuwa na adabu hadi wanafurahisha na vijana wao pia wamekuwa na adabu hata matusi kwa serikali na viongozi wao wameacha na sasa wamejikita kuangalia na kushuhudia jinsi Magufuli anavyo jenga nchi.

Wana UKAWA wakiongozwa na Mbowe sasa wamekubaliana na ushauri wa Mh Rais wa kuacha siasa zisizo na tija na kujenga nchi! Kwa kuwa hadi sasa UKAWA hawana cha kushauri kwa serikali imewabidi watulie na kuangalia serikali iliyo chaguliwa na wananchi wengi jinsi inavyo fanya kazi kwa weledi! Nawapongeza sana UKAWA.

Mtakumbuka imekuwa utamaduni wa wana UKAWA na viongozi wao wanapo kosa la kukukosoa basi watatoa hata kashifa au matusi kwa serikali au viongozi wake lakini utamaduni huu naona wameuacha maana wanajua fika kwa serikali hakuna nafasi ya kutoa matusi bali ni kutii sheria bila shuruti na atakaye ikwamisha serikali kuleta maendeleo atabomolewa au atakaye leta fyoko fyoko atatandikwa! Kwakweli UKAWA na Mbowe wana stahili pongezi.

Kwakweli UKAWA wanastahili pongezi hasa Mbowe.

Karibuni wana jamvi
 
Wasalaam wana jamvi,

Ni wazi kabisa mtu akifanya jambo jema ana stahili pongezi bila kujali anatokea wapi au ni mlengo gani!

Kwa kweli tangu Mh Magufuli kupitia CCM kupata ushindi na kuianza kazi waliyotumwa na watanzania kila mtu ameshuhudia kabisa nchi imekuwa na utulivu mkubwa sana na UKAWA wamekuwa wakitii sheria bila shuruti.

Miaka iliyopita ilikuwa haiwezekani UKAWA kupitisha wiki mbili bila kutoa tamko au kuitisha maandamano hasa kwenye miji ya Mwanza, Arusha na Dares-salaam na hata wakiambiwa hakuna kuandamana basi watagoma na kuandamana na kupelekea wafuasi wao kujeruhiwa huku Mbowe na wenzie wakijifichi.

Kusema ukweli Mbowe na UKAWA siku hizi wamekuwa watii na wamekuwa na adabu hadi wanafurahisha na vijana wao pia wamekuwa na adabu hata matusi kwa serikali na viongozi wao wameacha na sasa wamejikita kuangalia na kushuhudia jinsi Magufuli anavyo jenga nchi.

Wana UKAWA wakiongozwa na Mbowe sasa wamekubaliana na ushauri wa Mh Rais wa kuacha siasa zisizo na tija na kujenga nchi! Kwa kuwa hadi sasa UKAWA hawana cha kushauri kwa serikali imewabidi watulie na kuangalia serikali iliyo chaguliwa na wananchi wengi jinsi inavyo fanya kazi kwa weledi! Nawapongeza sana UKAWA.

Mtakumbuka imekuwa utamaduni wa wana UKAWA na viongozi wao wanapo kosa la kukukosoa basi watatoa hata kashifa au matusi kwa serikali au viongozi wake lakini utamaduni huu naona wameuacha maana wanajua fika kwa serikali hakuna nafasi ya kutoa matusi bali ni kutii sheria bila shuruti na atakaye ikwamisha serikali kuleta maendeleo atabomolewa au atakaye leta fyoko fyoko atatandikwa! Kwakweli UKAWA na Mbowe wana stahili pongezi.

Kwakweli UKAWA wanastahili pongezi hasa Mbowe.

Karibuni wana jamvi
Tumeshawaelewa nyie viwavi wa lumumba bila kuitaja cdm/ukawa post zenu zinadoda
 
Wasalaam wana jamvi,

Ni wazi kabisa mtu akifanya jambo jema ana stahili pongezi bila kujali anatokea wapi au ni mlengo gani!

Kwa kweli tangu Mh Magufuli kupitia CCM kupata ushindi na kuianza kazi waliyotumwa na watanzania kila mtu ameshuhudia kabisa nchi imekuwa na utulivu mkubwa sana na UKAWA wamekuwa wakitii sheria bila shuruti.

Miaka iliyopita ilikuwa haiwezekani UKAWA kupitisha wiki mbili bila kutoa tamko au kuitisha maandamano hasa kwenye miji ya Mwanza, Arusha na Dares-salaam na hata wakiambiwa hakuna kuandamana basi watagoma na kuandamana na kupelekea wafuasi wao kujeruhiwa huku Mbowe na wenzie wakijifichi.

Kusema ukweli Mbowe na UKAWA siku hizi wamekuwa watii na wamekuwa na adabu hadi wanafurahisha na vijana wao pia wamekuwa na adabu hata matusi kwa serikali na viongozi wao wameacha na sasa wamejikita kuangalia na kushuhudia jinsi Magufuli anavyo jenga nchi.

Wana UKAWA wakiongozwa na Mbowe sasa wamekubaliana na ushauri wa Mh Rais wa kuacha siasa zisizo na tija na kujenga nchi! Kwa kuwa hadi sasa UKAWA hawana cha kushauri kwa serikali imewabidi watulie na kuangalia serikali iliyo chaguliwa na wananchi wengi jinsi inavyo fanya kazi kwa weledi! Nawapongeza sana UKAWA.

Mtakumbuka imekuwa utamaduni wa wana UKAWA na viongozi wao wanapo kosa la kukukosoa basi watatoa hata kashifa au matusi kwa serikali au viongozi wake lakini utamaduni huu naona wameuacha maana wanajua fika kwa serikali hakuna nafasi ya kutoa matusi bali ni kutii sheria bila shuruti na atakaye ikwamisha serikali kuleta maendeleo atabomolewa au atakaye leta fyoko fyoko atatandikwa! Kwakweli UKAWA na Mbowe wana stahili pongezi.

Kwakweli UKAWA wanastahili pongezi hasa Mbowe.

Karibuni wana jamvi
Labda ni sababu ya mabadiriko ya uongozi...Dr. Slaa hayupo tena.
 
tukaribie tufanyaje ??


inabidi watu wengine mtulipe kwa kusoma ujinga wenu
 
Hapa nafunga na kusali ili Lema asiitishe maandamano arusha mjini, maana kwakweli tumechoka kuandamana, tunataka maendeleo na maendeleo huja kwa kufanya kazi.
Hebu nikumbushe, Mara ya mwisho maandamano yalikuwa lini vile? Maana unaongelea kama ni vile yalikuwa yanafanyika kila siku, Kumbe yaliwahi kufanyika mara moja tu, katika historia ya Arusha!
 
Wasalaam wana jamvi,

Ni wazi kabisa mtu akifanya jambo jema ana stahili pongezi bila kujali anatokea wapi au ni mlengo gani!

Kwa kweli tangu Mh Magufuli kupitia CCM kupata ushindi na kuianza kazi waliyotumwa na watanzania kila mtu ameshuhudia kabisa nchi imekuwa na utulivu mkubwa sana na UKAWA wamekuwa wakitii sheria bila shuruti.

Miaka iliyopita ilikuwa haiwezekani UKAWA kupitisha wiki mbili bila kutoa tamko au kuitisha maandamano hasa kwenye miji ya Mwanza, Arusha na Dares-salaam na hata wakiambiwa hakuna kuandamana basi watagoma na kuandamana na kupelekea wafuasi wao kujeruhiwa huku Mbowe na wenzie wakijifichi.

Kusema ukweli Mbowe na UKAWA siku hizi wamekuwa watii na wamekuwa na adabu hadi wanafurahisha na vijana wao pia wamekuwa na adabu hata matusi kwa serikali na viongozi wao wameacha na sasa wamejikita kuangalia na kushuhudia jinsi Magufuli anavyo jenga nchi.

Wana UKAWA wakiongozwa na Mbowe sasa wamekubaliana na ushauri wa Mh Rais wa kuacha siasa zisizo na tija na kujenga nchi! Kwa kuwa hadi sasa UKAWA hawana cha kushauri kwa serikali imewabidi watulie na kuangalia serikali iliyo chaguliwa na wananchi wengi jinsi inavyo fanya kazi kwa weledi! Nawapongeza sana UKAWA.

Mtakumbuka imekuwa utamaduni wa wana UKAWA na viongozi wao wanapo kosa la kukukosoa basi watatoa hata kashifa au matusi kwa serikali au viongozi wake lakini utamaduni huu naona wameuacha maana wanajua fika kwa serikali hakuna nafasi ya kutoa matusi bali ni kutii sheria bila shuruti na atakaye ikwamisha serikali kuleta maendeleo atabomolewa au atakaye leta fyoko fyoko atatandikwa! Kwakweli UKAWA na Mbowe wana stahili pongezi.

Kwakweli UKAWA wanastahili pongezi hasa Mbowe.

Karibuni wana jamvi
Mkuu walitaka kuandamana wakagundua HAKUNA Anaewajali wala kuwakiliza.WAKAKAA KIMYA.Wachek
 
Wasalaam wana jamvi,

Ni wazi kabisa mtu akifanya jambo jema ana stahili pongezi bila kujali anatokea wapi au ni mlengo gani!

....Wana UKAWA wakiongozwa na Mbowe sasa wamekubaliana na ushauri wa Mh Rais wa kuacha siasa zisizo na tija na kujenga nchi! Kwa kuwa hadi sasa UKAWA hawana cha kushauri kwa serikali imewabidi watulie na kuangalia serikali iliyo chaguliwa na wananchi wengi jinsi inavyo fanya kazi kwa weledi! Nawapongeza sana UKAWA.

Mtakumbuka imekuwa utamaduni wa wana UKAWA na viongozi wao wanapo kosa la kukukosoa basi watatoa hata kashifa au matusi kwa serikali au viongozi wake lakini utamaduni huu naona wameuacha maana wanajua fika kwa serikali hakuna nafasi ya kutoa matusi bali ni kutii sheria bila shuruti na atakaye ikwamisha serikali kuleta maendeleo atabomolewa au atakaye leta fyoko fyoko atatandikwa! Kwakweli UKAWA na Mbowe wana stahili pongezi.

Kwakweli UKAWA wanastahili pongezi hasa Mbowe.

Karibuni wana jamvi

Ruttashobolwa, tusidanganyane.

Haya maneno kaongee na mkeo chumbani usiku mkiwa mmelala!
UKAWA wataendelea kuibana Serikali mpaka kieleweke. Kila mtu mwenye akili timamu anajua kabisa kama siyo UKAWA huyu Magufuli na CCM yake asingeweza kutumbua majipu. Nina hakika kabisa ingelikuwa ni Business as usual kama enzi za Mzee wa Msoga, kuruka na ndege hewani kila siku kwenda majuu na hakuna kukusanya kodi, Ufisadi na wizi kwa kwenda mbele. Hiyo ndiyo CCM halisi tunayoijua.
Anachofanya Magufuli ni kujaribu kujibu hoja za UKAWA/UPINZANI. Najua CCM na Serikali yake wanapata maumivu makali sana lakini watafanyeje kwa vile bila hivo ifikapo 2020 CCM itabakia kuwa historia tu!
 
Sio kila kinachoandikwa kichukuliwe negatively na mimi hiki ulichokiandika kiunafiki bado nakichukulia positively kwa misingi ifuatayo, moja kubwa na lwa kwanza, Kakufuli anajitahidi kidogo kutekeleza ilani ya UKAWA kwa asilimia kadhaa, japo cha kuiga hakina nguvu sana, no way tunampa credit kwa hilo, pili, amedhihirisha kuwa tulipokuwa tunasema JK ni dhaifu na serikali wewe Ruta hukukubali lakini ashukuriwe MUNGU Magufuli kawaumbua. Tatu, tuliposema safari za nje ni dhambi kubwa sana na kwamba mnafilisi nchi wewe Ruta na wenzio mlititukana na vijembe juu, lakini MUNGU alivyo wa ajabu leo mmepigwa pini! Tunashukuru mmeliona hilo japo kwa uchungu mkubwa sana, tuliposema pia kuwa Nchi hii ina ufisadi wa kutisha mlitubeza mkasema tuna wivu! Haya leo kila kukicha watendaji wenu wenyewe kwa wenyewe mnatiana aibu hadharani, kumbuka hii haikuwahi kuwa ajenda ya CCM hata siku moja, naamini unawafahamu wenye ajenda hii.....
Lakini pia tuliposema kuwa Urafiki na wafanyabiashara ni hatari kwa nchi yetu mlitubishia sana, lakini leo hii kila kitu kinaendelea kuwekwa wazi, kwahio kwa mtu mwenye akili peke yake atafanya hitimisho kuwa KUMBE HAWA JAMAA WA UKAWA WANA AKILI KULIKO SHULE. kama ukishindwa kuliona hilo Muulize Magufuli wenu anatekeleza ILANI ya CCM au ya nani, japo na yeye anajikongoja tu.
 
Mnapenda kuona mititi ikitokea ili mtumie Yale nagari 777 ambayo nasikia yaneanza kupata kutu. Wangeyapakia kuyapeleka Zanzibar ili kulinda koloni lenu linalokataa kufanya uchaguzi mara ya pili wakati amri imetoka Dodoma
 
Mkuu walitaka kuandamana wakagundua HAKUNA Anaewajali wala kuwakiliza.WAKAKAA KIMYA.Wachek

Mkuu unafagilia udikteta.? Mbona wanaosomeshwa namba ni wale wale wa chama kile kile?

Nakushauri jitayarishe kuumbuka
 
ulichoongea ni upuuzi mtupu,njaa mbaya mpaka unalazimika kuweka akili zako mfukoni.Bunge lililopita,je,ukawa walikuwa kimya?Ni vigumu ujinga kuisha kwenye nchi hii,kama hata wenye ahueni wenyewe ndio kama hivi.Huwa nafadhaika sana ninapowaona watu wa namna hii,ipo siku aliyewapa uwezo wa akili atawahoji,ni kwanini utashi aliowapa yeye mnautia mfukoni na kutumia akili za kuambiwa.
 
Sio kila kinachoandikwa kichukuliwe negatively na mimi hiki ulichokiandika kiunafiki bado nakichukulia positively kwa misingi ifuatayo, moja kubwa na lwa kwanza, Kakufuli anajitahidi kidogo kutekeleza ilani ya UKAWA kwa asilimia kadhaa, japo cha kuiga hakina nguvu sana, no way tunampa credit kwa hilo, pili, amedhihirisha kuwa tulipokuwa tunasema JK ni dhaifu na serikali wewe Ruta hukukubali lakini ashukuriwe MUNGU Magufuli kawaumbua. Tatu, tuliposema safari za nje ni dhambi kubwa sana na kwamba mnafilisi nchi wewe Ruta na wenzio mlititukana na vijembe juu, lakini MUNGU alivyo wa ajabu leo mmepigwa pini! Tunashukuru mmeliona hilo japo kwa uchungu mkubwa sana, tuliposema pia kuwa Nchi hii ina ufisadi wa kutisha mlitubeza mkasema tuna wivu! Haya leo kila kukicha watendaji wenu wenyewe kwa wenyewe mnatiana aibu hadharani, kumbuka hii haikuwahi kuwa ajenda ya CCM hata siku moja, naamini unawafahamu wenye ajenda hii.....
Lakini pia tuliposema kuwa Urafiki na wafanyabiashara ni hatari kwa nchi yetu mlitubishia sana, lakini leo hii kila kitu kinaendelea kuwekwa wazi, kwahio kwa mtu mwenye akili peke yake atafanya hitimisho kuwa KUMBE HAWA JAMAA WA UKAWA WANA AKILI KULIKO SHULE. kama ukishindwa kuliona hilo Muulize Magufuli wenu anatekeleza ILANI ya CCM au ya nani, japo na yeye anajikongoja tu.
Well said, kama yeye na wenzake watarudi tena kwa jambo hili basi lazima kuna nati kichwani haziko sawa
 
Back
Top Bottom