Hongera Ridhiwani Kikwete

Hongera Ridhiwani Kikwete

Joined
Jan 18, 2014
Posts
11
Reaction score
5
Wapenzi na watambuzi wa wagombea wenye hari ya kuwaletea maendeleo watz wameonekana tena kwa mara nyngne ktk jimbo la chalinze ambapo kijana mwenzetu ridhiwani katimiza moja ya ndoto yake ktk maisha,ninasema hongera ridhiwan na hongera martin shigela mana uliliona hili ukasema ccm inamzizi kuanzia matawi hadi taifa we think more sisi vijana na tutabanana mda mwngne ukifka,ccm waaooooo......
 
Wapenzi na watambuzi wa wagombea wenye hari ya kuwaletea maendeleo watz wameonekana tena kwa mara nyngne ktk jimbo la chalinze ambapo kijana mwenzetu ridhiwani katimiza moja ya ndoto yake ktk maisha,ninasema hongera ridhiwan na hongera martin shigela mana uliliona hili ukasema ccm inamzizi kuanzia matawi hadi taifa we think more sisi vijana na tutabanana mda mwngne ukifka,ccm waaooooo......

21,000-92,500=ccm ina mizizi kuanzia matawi hadi taifa!
 
we jipe moyo atambuliki bado anakesi maakamani ikiisha ndo atajulikana nani mbunge xawa kuwa mpole
 
Hongera Ridwani!
Nami pia nichukue fursa hii kukupongeza kwa ushindi uliopata katika uchaguzi wa karibuni.
Naamini kama nilivyoamini wakati wa kumpongeza kijana mwenzio Mgimwa kuwa ndani ya nafsi unajua hasa unachohitaji katika ugombea wako pia naamini fika unazijua mbinu halali na haramu zilizosaidia kupata ushindi.
Naamini furaha uliyo nayo ni short lived kwani karibuni utaiona hali halisi na utaona changamoto zilizopo.
Pia kama kuna mbinu haramu uliyotumia itaiumiza dhamira yako kwa kiwango kikubwa lakini hata hivyo tukupe HONGERA kwa kufanikinisha lengo lake na kwa wataalamu wa mahusiano ya jamii uko katika kiwango cha "self actualization",huwazi kuhusu cheo lakini unawaza kuhusu cheo KIPI,congratulation!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom