Hongera RC Mtaka

Wazee wa kufuata upepo kama kawa. Umejua haya baada ya Rais kumsifia? Kwann hukusema hizi sifa kabla
Wewe achana na Mimi kitu usicho kijua
Unakaa kimya sio lazima uchangie
Nina misimamo yangu mi sio fuata upepo mtu akifanya vizuri asifiwe hapo ndio huwa
Nashinda na watu wengi
 
Vizuri sasa RC wangu Makonda mtaacha kumuandama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…