[kilichofuatia tulishuka kwa salama. Baada ya hapo nawaachia wana usalama.
Gari ilichukuliwa na askari kupelekwa kituoni. Umuhim tuliwaona nao askari kwenye tukio.
Kwa kua tulishuka salama sina jingine tena...labda wakiniita kutoa ushuhuda wangu mchache!. [/]
Kuwaachia askari, huyo mtu ataachiwa huru kwa kuwa mashahidi hawakutokea. Polisi jamii na ulinzi shirikishi, inamtaka kila mtu kuchukia uhalifu na kuwa kitu kimoja kuzuia uhalifu.
Umefanya vizuri kutoa taariafa na mkasaidiwa kabla ajali haijawamaliza, hapo tayari umezuia uhalifu. Kinachotakiwa baada ya hapo, ni kutoa ushirikiano hasa kwa kufuatilia mpaka dreva apumzishwe gerezani.
ukikaa kimya tu, keshokutwa utamouna barabarani, na utaanza kulaumu bure kumbe wewe mwenyewe umechangia kwa kutotoa ushirikiano.
umoja wetu ndio utakaotufanya tuwe salama. na hii ndiyo polisi jamii na ulinzi shirikishi.