Ile maana ya "No body can stop reggae" ndio itafahamika sk hiyo[emoji114]Fikiria katika ile chopping enzi za usichana uligombania bwana na bidada. Ukishinda wewe ukanyakua bwana. Bidada alinkumind mbaya.
Ulipoenda chuo mliachana na yule mwanume. Sasa umepata mchumba na anakupeleaka kwao. Yule bishost ni mmoja katika mawifi.
Afadhali awe mstaarabu akae kimya, akikuunguza kwa wazaziIle maana ya "No body can stop reggae" ndio itafahamika sk hiyo[emoji114]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wifi ulimshinda ktk kumbebea bwana leo anakuona ndo usingizi wa kaka aaah wapi lzm gubu la wifi lihusike hapo.Afadhali awe mstaarabu akae kimya, akikuunguza kwa wazazi
Tena atasema huyu man eater amefanikiwa kumpata broWifi ulimshinda ktk kumbebea bwana leo anakuona ndo usingizi wa kaka aaah wapi lzm gubu la wifi lihusike hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria katika ile chopping enzi za usichana uligombania bwana na bidada. Ukishinda wewe ukanyakua bwana. Bidada ali kumind mbaya.
Ulipoenda chuo mliachana na yule mwanume. Sasa umepata mchumba na anakupeleaka kwao. Yule bishost ni mmoja katika mawifi.
Fikiria katika ile chopping enzi za usichana uligombania bwana na bidada. Ukishinda wewe ukanyakua bwana. Bidada ali kumind mbaya.
Ulipoenda chuo mliachana na yule mwanume. Sasa umepata mchumba na anakupeleaka kwao. Yule bishost ni mmoja katika mawifi.