Mwenyezi akubariki ,upate mume mwemaHabari zenu, maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi mno ila nimegundua hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuishi maisha huru, ya amani na upendo. Yani natamani umri huu niliofikia maisha yangu yaliyobaki niyatumie katika maisha ya furaha na amani. Nipate mwanaume ambaye ni mcha Mungu -mkristo umri from 43 and above ambaye anajitambua ambaye nayeye anajielewa na anataka kuishi maisha ya furaha na amani, tuwe wawazi kwenye mahusiano, no michepuko uwe financial stable mimi pia sio ombaomba niko poa namshukuru Mungu. Uwe unapenda ibada maana bila Mungu mahusiano huwa ni balaa tupu. Uwe huna mke tafadhali, uwe mmeachana, umefiwa . Hapa ni urafiki na company kwanza mengine baadae sana maana mie ni mtu wa slow motion dont get exited. Mbarikiwe sana
Habari zenu, maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi mno ila nimegundua hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuishi maisha huru, ya amani na upendo. Yani natamani umri huu niliofikia maisha yangu yaliyobaki niyatumie katika maisha ya furaha na amani. Nipate mwanaume ambaye ni mcha Mungu -mkristo umri from 43 and above ambaye anajitambua ambaye nayeye anajielewa na anataka kuishi maisha ya furaha na amani, tuwe wawazi kwenye mahusiano, no michepuko uwe financial stable mimi pia sio ombaomba niko poa namshukuru Mungu. Uwe unapenda ibada maana bila Mungu mahusiano huwa ni balaa tupu. Uwe huna mke tafadhali, uwe mmeachana, umefiwa . Hapa ni urafiki na company kwanza mengine baadae sana maana mie ni mtu wa slow motion dont get exited. Mbarikiwe sana
HAYA WAPENDA SINGLE MAMA KAZI KWENU SASA
Mimi nina miaka 45, ni single man, sijawahi kuoa na wala sijawahi kuingia kwenye mahusiano[emoji53][emoji53][emoji53].......... je nakufaa?
Habari zenu, maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi mno ila nimegundua hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuishi maisha huru, ya amani na upendo. Yani natamani umri huu niliofikia maisha yangu yaliyobaki niyatumie katika maisha ya furaha na amani. Nipate mwanaume ambaye ni mcha Mungu -mkristo umri from 43 and above ambaye anajitambua ambaye nayeye anajielewa na anataka kuishi maisha ya furaha na amani, tuwe wawazi kwenye mahusiano, no michepuko uwe financial stable mimi pia sio ombaomba niko poa namshukuru Mungu. Uwe unapenda ibada maana bila Mungu mahusiano huwa ni balaa tupu. Uwe huna mke tafadhali, uwe mmeachana, umefiwa . Hapa ni urafiki na company kwanza mengine baadae sana maana mie ni mtu wa slow motion dont get exited. Mbarikiwe sana
Asanteni
Ninawatoto 3, wakike 1 wanaume wawili wote ni wababa mmoja
Habari zenu, maisha ni safari ndefu sana na inamilima na mabonde. Kwa upande wangu mimi ni mwamamke umri miaka 43 nina watoto. Katika maisha haya nimepitia mambo mengi sana na nimejifunza mengi mno ila nimegundua hakuna kitu kizuri na kitamu kama kuishi maisha huru, ya amani na upendo. Yani natamani umri huu niliofikia maisha yangu yaliyobaki niyatumie katika maisha ya furaha na amani. Nipate mwanaume ambaye ni mcha Mungu -mkristo umri from 43 and above ambaye anajitambua ambaye nayeye anajielewa na anataka kuishi maisha ya furaha na amani, tuwe wawazi kwenye mahusiano, no michepuko uwe financial stable mimi pia sio ombaomba niko poa namshukuru Mungu. Uwe unapenda ibada maana bila Mungu mahusiano huwa ni balaa tupu. Uwe huna mke tafadhali, uwe mmeachana, umefiwa . Hapa ni urafiki na company kwanza mengine baadae sana maana mie ni mtu wa slow motion dont get exited. Mbarikiwe sana