Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 17,026
- 20,511
<br>Lol, thubutu! Yaani nimsaliti my wife kisa nimekuona wewe hapa JF? Nimekuambia unipe majibu mapema ili niongee naye juu ya hili ili kupata ridhaa yake, hii ni kutaka kukusaidia wewe sugar mummy! Akikataa basi si ridhiki.... Kwani labda kati yako na ex wako, ni nani aliyeanza kumsaliti mwenzake mpaka leo umefikia hapa? Basi ukifanikiwa kumpata mwingine, uwe na ka utaratibu ka kumshirikisha mwenzi wako kila mara unapotaka kuanzisha mahusiano mapya ya kimapenzi nje ya ndoa! Hii itakusaidia usiwe na migongano ndani ya ndoa yako, lakini pia kupunguza uwezekano wa kuwa na watoto wengi wa mitaani kama si yatima kabisa kwani magonjwa ni mengi!<br>
<br>
Pamoja sana mkuu!Hahaa hahaa hii nimeipenda mkuu!
<br>Lol, thubutu! Yaani nimsaliti my wife kisa nimekuona wewe hapa JF? Nimekuambia unipe majibu mapema ili niongee naye juu ya hili ili kupata ridhaa yake, hii ni kutaka kukusaidia wewe sugar mummy! Akikataa basi si ridhiki.... Kwani labda kati yako na ex wako, ni nani aliyeanza kumsaliti mwenzake mpaka leo umefikia hapa? Basi ukifanikiwa kumpata mwingine, uwe na ka utaratibu ka kumshirikisha mwenzi wako kila mara unapotaka kuanzisha mahusiano mapya ya kimapenzi nje ya ndoa! Hii itakusaidia usiwe na migongano ndani ya ndoa yako, lakini pia kupunguza uwezekano wa kuwa na watoto wengi wa mitaani kama si yatima kabisa kwani magonjwa ni mengi!<br>
<br>
Eeeeh, tumefika huko? Sasa si uliomba ushauri jamani sugar mummy? Samahani kama ushauri wangu umekuwa mchungu kwako! Pole sana, acha wenye ushauri mtamu kwako waje wakufurahishe !Hivi wewe Makoye umetumwa humu ndani? kama umeona haikuhusu why to comment? ndio wale wale wasio na kazi kazi kutafuta majungu yakuaindika humu. Rose mhando aliimba hivi kivuli likisogea na wao wanasogea umbea tu nothing else.
<br>Lol, thubutu! Yaani nimsaliti my wife kisa nimekuona wewe hapa JF? Nimekuambia unipe majibu mapema ili niongee naye juu ya hili ili kupata ridhaa yake, hii ni kutaka kukusaidia wewe sugar mummy! Akikataa basi si ridhiki.... Kwani labda kati yako na ex wako, ni nani aliyeanza kumsaliti mwenzake mpaka leo umefikia hapa? Basi ukifanikiwa kumpata mwingine, uwe na ka utaratibu ka kumshirikisha mwenzi wako kila mara unapotaka kuanzisha mahusiano mapya ya kimapenzi nje ya ndoa! Hii itakusaidia usiwe na migongano ndani ya ndoa yako, lakini pia kupunguza uwezekano wa kuwa na watoto wengi wa mitaani kama si yatima kabisa kwani magonjwa ni mengi!<br>
<br>
naona hujanielewa bado. narudia tena kusema hivi, mimi sio huyo unayemdhania nilizaa vizuri sana lakini sababu yangu ya kuzaa ni kuwa na mtoto sio mwanaume ila kwa sasa kwa kuwa nimeandaa future ya watoto wangu nahitaji ambaye nitakuwa naye kama mume sio vinginevyo. naomba nikwambie kitu kingine watoto wangu wote wanasoma tena nje ya tanzania sio chokoraa the way you said it. au labda unataka nikuoe wewe? kwa sababu uwezo huo pia ninayo so watch you words.
Hahahaaaa.... matokeo yako ya kidato cha nne ushayapata?naona hujanielewa bado. narudia tena kusema hivi, mimi sio huyo unayemdhania nilizaa vizuri sana lakini sababu yangu ya kuzaa ni kuwa na mtoto sio mwanaume ila kwa sasa kwa kuwa nimeandaa future ya watoto wangu nahitaji ambaye nitakuwa naye kama mume sio vinginevyo. naomba nikwambie kitu kingine watoto wangu wote wanasoma tena nje ya tanzania sio chokoraa the way you said it. au labda unataka nikuoe wewe? kwa sababu uwezo huo pia ninayo so watch you words.
Mkuu, hapa kazi ipo! Malezi ya kisirani haya ndo yanamsumbua huyu mtu, si unaona hata jina lake? Eti sugar mummy, sijui kama anaijua maana ya hilo jina!Kama mume= mfano wa mume?
Hallow to All
Hey guys am back again looking for honest and Good looking husband for my future life. am 37yrs old with two children. pliz if you are below 35 do'nt comment. nina kazi yangu pia ni mtu wa kufikiria future zaidi sio vinginevyo kama unaona una vigezo pliz you are wellcome.
shikamoo mama!nakuamkia tu na kukutakia kila la kheri!
Mkuu, hapa kazi ipo! Malezi ya kisirani haya ndo yanamsumbua huyu mtu, si unaona hata jina lake? Eti sugar mummy, sijui kama anaijua maana ya hilo jina!
Mwalimu wangu alinifunza,ukioa mwanamke mwenye watoto na wewe ukawa unawatoto wako au ukawa huna watoto ni janga la kitaifa. Dont dare,inashida zake mbeleni
Marhabaaa, jamani mama yenu nko kwenye interview huku watu wanatuma CV za kufa mtu wewe makoye na wenzako endelea kupiga domo mimi huyo najichagulia kwa raha zangu.