Hon, Dr, Prof. JAKAYA MRISHO KIKWETE

kumbe alianzia kukaa nje ya nchi tangu ujanani
 
Kwa miaka10 nchi ilikua inaongozwa na diwani wa msoga.Matokeo yake tumeyaona.
 
Sioni sababu ya kutumia hizo initials zote. Ndugu inatosha kabisa.
 
watu wameanza kula bata kitambo kumbe
 
mzee wa kucheka cheka,hua najiuliza au ni yeye alieandika yale mashairi ya cheka cheka nini


Na wewe kwa kulala bungeni, subiri tu....Ulishaambiwa achana na machangu uchwara kule Dom, wewe hutaki tu.....ukilala mbele yangu nakuibia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…