Homa ya Dengue imeishia wapi?

Mapolomoko

JF-Expert Member
Feb 16, 2013
1,751
417
Kwanini watawala wetu hawawi wakweli, kwanini wasituambie kama walivyo tuambia Mikoa ya kanda ya ziwa kuwa tunapulizia sumu ya ukoko a.k.a. (sumu hatari ya D.D.T) au mnajua mkiwaambia watu wa Dar kuwa hii ni sumu ya D.D.T watakataa kupuliziwa? kwani sumu hii ni hatari kwa viumbe hai. naona hamjanielewa nihivi, hiisumu nimoja ya viuatirifu aina 12 vilivyopigwa marufuku kwa matumizi Duniani? na ililetwa hapa lwetu ili itumike kwenye mahindi ila ikaonekana haifai, sasa kwakuwa hapa TZ tunayo, na haijaisha mdawake ili irudi kwa wario itengeneza. wanatafuta njia ya kuitumia.
 
Nimerudia nimeona unazungumzia madhara ya sumu ya DDT. Sijaona homa ya dengue. Hata hivyo Gwajima kawapiga stop wahusika
 
hiyo ya Gwajima achana nayo. hebu tusaidiane kutafakari hili. imetangazwa kuwa ugonjwa umeshafika Mwanza. (1) wagonjwa Mwanza majinayao yamefichwa wagonjwa wa Dar majina yalitangazwa yakiwemo ya wasanii walio amua kutufanyia usanii (2) matokeo ya sensa yanaonyesha kuwa mkoa wa Mwanza unawatu milioni 7, kamahuu ugonjwa tunao ambiwa ni tishio upo, kwanini viletwe vipimo 50pc yaani kwa watu M7. watapimwa wagonjwa hamsini tu. je,huu si usanii kama usanii mwingine wa viongozi wetu?.
 
...kwani hela iliyo windwa si imeshotoka,wahangaike nini tena...
 
Nikiifikilia hii nchi natamani kulia. wananchi hatujielewi tunapelekwa kama misukule. Nchi inaendeshwa kwa michango toka kwa cc wananchi badara ya kuendeshwa kwa kodi. kodi zetu wanakula wao maendereo tunachangishwa, hii inaingia hakilini kweri?. nibora kuishi Msumbiji kwa watu wenye uelewa Mkate uliwahi kupanda bei kwa zaidi ya sh.200, nchi nzima iliandamana na bei ikashuka. lakini hapa ni zilo kabisa kilasiku vitu vinapanda tena kwa kiwango kikubwa.
 
ngoja uumwe na dengue ndio utatupa taarifa zaidi!
Jielimishe acha siasa za kipuuzi!
 
Nimerudia nimeona unazungumzia madhara ya sumu ya DDT. Sijaona homa ya dengue. Hata hivyo Gwajima kawapiga stop wahusika

sababu ya kutangaza huo ugonjwa ni kutaka kuitumia hiyo dawa. kumbuka kuwa sumu yoyote ikiisha mdawake wa matumizi ni hatari zaidi.
 
sababu ya kutangaza huo ugonjwa ni kutaka kuitumia hiyo dawa. kumbuka kuwa sumu yoyote ikiisha mdawake wa matumizi ni hatari zaidi.
Nani kakwambia DDT imetumika kufanya fumigation?
Usidhani tulioko huku ni wapuuzi!Tambua unapopost hapa JF kuna wataalamu na wahusika mbalimbali juu ya mada unayoleta.hii sio blog ya shigongo!

Cc:mods
 
sababu ya kutangaza huo ugonjwa ni kutaka kuitumia hiyo dawa. kumbuka kuwa sumu yoyote ikiisha mdawake wa matumizi ni hatari zaidi.

Hivi hii si ndio iliyokuwa inapuliziwa kwenye kahawa kuua wadudu? Sasa wakulima wamekata kahawa kwa kuwa hazina faida tena hivyo dawa iende wapi? Loo hapa mpaka stock iishe ndio na dengue iishe
 
Nikiifikilia hii nchi natamani kulia. wananchi hatujielewi tunapelekwa kama misukule. Nchi inaendeshwa kwa michango toka kwa cc wananchi badara ya kuendeshwa kwa kodi. kodi zetu wanakula wao maendereo tunachangishwa, hii inaingia hakilini kweri?. nibora kuishi Msumbiji kwa watu wenye uelewa Mkate uliwahi kupanda bei kwa zaidi ya sh.200, nchi nzima iliandamana na bei ikashuka. lakini hapa ni zilo kabisa kilasiku vitu vinapanda tena kwa kiwango kikubwa.
ziro wa kwanza ni wewe unayeweza kuaccess JF halafu unashindwa kuhusu dengue fever?
Ndii maana mnanyweshwa vikombe vya babu wa loliondo
 
ngoja uumwe na dengue ndio utatupa taarifa zaidi!
Jielimishe acha siasa za kipuuzi!

siasa ndizo zilizo kuaminisha ujinga ulio nao. ningekuwa nataka siasa ningeenda jukwaa la siasa uriza watu kanda ya ziwa hasa wa mkoa wa Kagera kama mbu walikwisha. aliwahi kuulizwa na Radio Kwizera,Mganga mkuu wa hospitari ya wiraya ya Kibondoa kuwa mbona vyandarua tunatumia lakini Mbu hawafi jibu alilotoa ni kuwa sumu inaua Mbu wa Maralia tu. sasa wewe utasemaje siasa
 
siasa ndizo zilizo kuaminisha ujinga ulio nao. ningekuwa nataka siasa ningeenda jukwaa la siasa uriza watu kanda ya ziwa hasa wa mkoa wa Kagera kama mbu walikwisha. aliwahi kuulizwa na Radio Kwizera,Mganga mkuu wa hospitari ya wiraya ya Kibondoa kuwa mbona vyandarua tunatumia lakini Mbu hawafi jibu alilotoa ni kuwa sumu inaua Mbu wa Maralia tu. sasa wewe utasemaje siasa
kwa hiyo jibu la huyo mganga wa kibondo ndio limekufanya uje na huu ujinga wako hapa Jf?
Unajua mbu wa malaria wa bite habits za namna gani?
Mbu kama hajakifikia chandarua atakufaje?
Hao watu wanaanza kutumia vyandarua saa ngapi?hivyo vyandarua ni vizima?vimepigwa dawa lini?
Acha ubwege!
 
Nani kakwambia DDT imetumika kufanya fumigation?
Usidhani tulioko huku ni wapuuzi!Tambua unapopost hapa JF kuna wataalamu na wahusika mbalimbali juu ya mada unayoleta.hii sio blog ya shigongo!

Cc:mods

Haya wewe unae jua tusaidie. unao watetea wanaiita hiyo sumu dawa ya Ukoko haya tuambie ni ukoko wa nini kwakua unajua?.
 
kwa hiyo jibu la huyo mganga wa kibondo ndio limekufanya uje na huu ujinga wako hapa Jf?
Unajua mbu wa malaria wa bite habits za namna gani?
Mbu kama hajakifikia chandarua atakufaje?
Acha ubwege!

sasa kama mganga mkuu anasema uongo kweupe, kuwa Mbu wanabaguriwa na sumu ya chandarua inakuwaje wewe utetee?. inaonekana wewe ni mmoja wa wapuliziaji.
 
Nani kakwambia DDT imetumika kufanya fumigation?
Usidhani tulioko huku ni wapuuzi!Tambua unapopost hapa JF kuna wataalamu na wahusika mbalimbali juu ya mada unayoleta.hii sio blog ya shigongo!


Cc:mods

Wewe ndio mpuuzi namba moja duniani! Sasa kama haijatumika DDT tuambie basi ni nini kimetumika. Usiishie kupiga makelele tu.
 
google kuhusu pyrethroids!
Jielimishe halafu urudi hapa na ukome kuropoka!

sinahaja ya kubishana na wewe kwani ninaweza kukutukana bule. ila jiulize swali hili, kamakweli ugonjwa upo, iweje Mwanza kwenyeeneo lenyewatu M7. vipelekwe vipimo vya kupima watu hamsini tu? nahii ni kwamjibu wa mganga mkuu wa mkoa. ndipo uendeleze ubishi wako.
 
Back
Top Bottom