Homa: Kwaya ya Kijitonyama mubashara TV e

Homa: Kwaya ya Kijitonyama mubashara TV e

Mjasiri na Mali

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2017
Posts
5,365
Reaction score
14,182
Wasaalam,

Mapema Leo niko nyumbani kabla ya saa tatu kamili sio kawaida yangu mpaka mtoto anauliza baba muda mrefu sijakuona ulikuwa umesafiri? Nashindwa kujibu nachukua remote naitafuta TV E

Ndiyo ni TV E ya Majizzo unayoifahamu wewe, binafsi sio mpenzi wa kuangalia TV ila kwa leo imenibidi nitenge muda wa kukaa chini na kutazama kinachoendelea TV E.

Toka majuzi kati nasikia homa homa kila muda nikitizama ni homa, bahati mbaya naona kwenye homa watakuwepo Kijitonyama Choirs, basi bwana nikapanga ratiba vizuri sana ili muda wa homa ukifika na mimi nipatwe na hiyo homa

Kijitonyama Choirs live imenikumbusha mbali kipindi cha kina Joshua Mlelwa ambaye namuona kwa sasa upendo group. Wajuzi nijuzeni nini kilimkuta Joshua na wenzake wakaamua kuhama kutoka kwaya ya kanisani na kuanzisha kikundi chao?
 
Hiyo kwaya ilikuwa kiboko aisee. Mwaka 2004 nilikuwa nakaa mkoa mmoja wa nyanda za juu kusini, huko zinashika radio za malawi na Msumbiji tu. Unaambiwa hizo ngoma za kijitonyama zilikuwa zinagongwa kila siku.
 
Kwaio nao wameamua kuanza kukopi style ya wasafi,ni kucopy na kupaste tu.
 
Back
Top Bottom