Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
hapohapo Spika wa bunge amesema kuwa vitabu vya bajeti vilivyopo kwenye maktaba ya Bunge mjini Dodoma vinaonyesha kuwa barabara ya Chalinze-Segera-Tanga haikuwa imepangiwa fedha katika bajeti zilizopita.
Sasa kwa nini wasdeclare kuwa wameoverlook kuliko kulazimisha majibu ambayo nikitendawili?
Wakuu nipeni mwongozo wa spika plz
Hapa kuna usanii na kujikomba kwa JK maana anajenga hekalu lake...mitaa hiyo ya barabara hy...wanajipendekeza ili wasije wakasahaulika .......next 2010-15
Skills4ever!
Why are you worried ! Hivi kwa mawazo yenu ni hoja gani ilikwisha kutolewa majibu ya uhakika na hao wapuuzi wanaojiita wabunge sijui Spika etc..ectc.. apart from usanii wa CCM na mipasho ya akina Mudhihir!
Kwa elimu yenu ni kwamba miradi takriban yote ni fedha za wafadhili hiyo ya Chalinze hadi kITUMBI inafadhiliwa na Norad !! Lini pesa za wafadhili zikapitishwa na bunge la majambazi?
This will never happen kwa hiyo hoja ya Selelli ilikufa pale pale alipoitoa!!! Mwambieni aache nae usanii atafute hoja ya huko NZEGA kwa nini haulizii Resolute Mines ilpouzwa kwa RA au anamwogopa!!! Ask Matonya pesa za Millenium Challenge Account zipatazo USD 800m zilipitishwa na kamati ipi ya Bunge!! Wacheni hizo !!!
Ask Seleli alikuwa wapi wakati akina Liyumba walipojenga Twin Towers za Bank Kuu kwa zaidi ya USD 400m tena pesa zetu na Bunge hilo hilo !! Komeni na multiple double standards!! Kama ilivyo Kagoda na Deep Green wote mguu sawa amri moja maelezo hatutoi tafuteni hoja nyingine!!!!
Mkereme hebu tumia hekima hata kidogo tu katika kujadili mambo. Na wakati mwingine usipende kujionyesha ujinga wako wote hata kama ni kweli unaweza kuwa mjinga.
Waeleze,hivi kweli Barabara ya Kimara - Mlandizi - Chalinze haina njia nne iwe je barabara ya Chalinze - Segera iwekwe njia nne,kweli sasa kila mmoja huvuta kamba kwake,ngoja 2010 inakuja tusahihishe makosa.Skills4ever!
Why are you worried ! Hivi kwa mawazo yenu ni hoja gani ilikwisha kutolewa majibu ya uhakika na hao wapuuzi wanaojiita wabunge sijui Spika etc..ectc.. apart from usanii wa CCM na mipasho ya akina Mudhihir!
Kwa elimu yenu ni kwamba miradi takriban yote ni fedha za wafadhili hiyo ya Chalinze hadi kITUMBI inafadhiliwa na Norad !! Lini pesa za wafadhili zikapitishwa na bunge la majambazi?
This will never happen kwa hiyo hoja ya Selelli ilikufa pale pale alipoitoa!!! Mwambieni aache nae usanii atafute hoja ya huko NZEGA kwa nini haulizii Resolute Mines ilpouzwa kwa RA au anamwogopa!!! Ask Matonya pesa za Millenium Challenge Account zipatazo USD 800m zilipitishwa na kamati ipi ya Bunge!! Wacheni hizo !!!
Ask Seleli alikuwa wapi wakati akina Liyumba walipojenga Twin Towers za Bank Kuu kwa zaidi ya USD 400m tena pesa zetu na Bunge hilo hilo !! Komeni na multiple double standards!! Kama ilivyo Kagoda na Deep Green wote mguu sawa amri moja maelezo hatutoi tafuteni hoja nyingine!!!!
Kama nitakuwa na kumbukumbu nzuri is almost a week toka Mh.Seleli alivyochukia bungeni na kutuhumu kuwa Bunge halina maana kujadili kitu ambacho tayari kinaendelea.Hivi how long it takes kujibu hoja hiyo au wanatafuta kuizma kwa kuwa ni mbunge wa CCM? au majibu yalishatole tayari? hapohapo Spika wa bunge amesema kuwa vitabu vya bajeti vilivyopo kwenye maktaba ya Bunge mjini Dodoma vinaonyesha kuwa barabara ya Chalinze-Segera-Tanga haikuwa imepangiwa fedha katika bajeti zilizopita.
Sasa kwa nini wasdeclare kuwa wameoverlook kuliko kulazimisha majibu ambayo nikitendawili?
Wakuu nipeni mwongozo wa spika plz
Miye nimeshasema hapa jamvini kwamba hili ni Bunge Haramu na Spika Six ni mtetezi mkubwa wa mafisadi bungeni na uozo uliojaa serikalini. Huo ndiyo ukweli wa mambo. Sina imani kabisa na Sitta na Wabunge wengi wa chama cha mafisadi.
JF siku hizi wakali!!!!!