Hodiiiiiii mpaka ndani!

Hodiiiiiii mpaka ndani!

kidonto

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
2,322
Reaction score
3,599
Jamani mi ni mgeni humu ndani, kukaribishana IMO?
 
karibu sana..........................
 
Jamani mi ni mgeni humu ndani, kukaribishana IMO?

Mr.Rijali karibu, Lakini kila chumba na mlango wake na kila mlango na fungu yakeee!!
JF ni hospitali kuu inatibu na kudischarji haraka.
JF ni Chuo pekee 24/7 ukifaulu unaajiriwa umoumo.
Most welcom...
 
hii jinsia ya "rijari" inapatkana mkoa gan? Karibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom