am me Member Jan 25, 2012 38 11 Feb 15, 2012 #1 Hodi humu ndani wana jamii,humu ndan mi mgeni naomba ukaribisho wenu.ahsanten kwa wenu ukarimu.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 15, 2012 #2 Umetokea wapi? Hapa sio pa kupokelea wageni bana unaharibu pozi......enewei karibu sana!
Gabmanu Senior Member Feb 9, 2012 161 9 Feb 15, 2012 #3 Mbona umepitia dirishan mlango ulikuwa umefungwa?
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,571 2,068 Feb 15, 2012 #4 Duh!! Katavi bana, anyway Mgeni karibu ndani.
nitonye JF-Expert Member Dec 18, 2011 7,273 3,750 Feb 15, 2012 #5 wewe unaonekana ni mwenyeni kwa sababu umeshajua hadi chumbani
Globu JF-Expert Member Jan 12, 2011 8,571 2,068 Feb 15, 2012 #6 Duh!! Katavi bana, anyway Mgeni karibu ndani. Msameheni bado yeye mgeni.
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,780 Feb 16, 2012 #7 Mgeni karibu ! Mpishi wa zamu kantuma nikuulize unakulaga wali wa maji , au pilau ?
U Ulimakafu JF-Expert Member Mar 18, 2011 29,047 10,695 Feb 16, 2012 #9 Judgement said: Mgeni karibu ! Mpishi wa zamu kantuma nikuulize unakulaga wali wa maji , au pilau ? Click to expand... Pilau msibani,mwandalie biriani kuku.
Judgement said: Mgeni karibu ! Mpishi wa zamu kantuma nikuulize unakulaga wali wa maji , au pilau ? Click to expand... Pilau msibani,mwandalie biriani kuku.
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 16, 2012 #10 Judgement said: Mgeni karibu ! Mpishi wa zamu kantuma nikuulize unakulaga wali wa maji , au pilau ? Click to expand... Mletee maji ya kunywa kwanza apoze koo!
Judgement said: Mgeni karibu ! Mpishi wa zamu kantuma nikuulize unakulaga wali wa maji , au pilau ? Click to expand... Mletee maji ya kunywa kwanza apoze koo!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Feb 16, 2012 #11 Globu said: Duh!! Katavi bana, anyway Mgeni karibu ndani. Click to expand... Alipiga hodi jukwaa la chit chat, nadhani sasa atakuwa kazoea.
Globu said: Duh!! Katavi bana, anyway Mgeni karibu ndani. Click to expand... Alipiga hodi jukwaa la chit chat, nadhani sasa atakuwa kazoea.