Karibu ila hili sio jukwaa husika nduguMimi ni mwanaJF mwenzenu bado mgeni humu humu ndio najitambulisha rasmi kwenu.
Naombeni ushirikiano kutoka kwenu Watanzania wenzangu.
ASANTENI SANA.
freu ni nini? Karibu!Mimi ni mwanaJF mwenzenu bado mgeni humu humu ndio najitambulisha rasmi kwenu.
Naombeni ushirikiano kutoka kwenu Watanzania wenzangu.
ASANTENI SANA.
Freu=frank eunyofreu ni nini? Karibu!
Usitukane watu, jifunze utamaduni wa kujenga hoja.
Hehe! Kulikoni?karibu jinsia yako ni ipi
Karibu ndugu,Mimi ni mwanaJF mwenzenu ila bado mgeni ndo najitambulisha rasmi kwenu naomben ushirikiano.ASANTEN SANA.
Mku mbona Mimi silipwi lakini natete chama changu ccm kwa pale ninakowezaMimi nikiona mgeni siku za karibuni kajiunga JF najua ni team buku 7 kwani kwa sasa mmezidiwa nguvu so mnarecruit new candidate kwa kasi ya light. Huu ni mfano wa nguvu ya umma. Nyie mnalipwa laikini mnashindwa nguvu na watu wanaojitolea.
Karibu sana ila epukana na Watu kama Stroke, Cocochanel, Motochini, Rutashoborwa, Lizaboni (ingawa huyu anaisoma namba hivi sasa) na Ndigiri wengine sababu hawa kila siku wana ujira wao wa buku 7Mimi ni mwanaJF mwenzenu bado mgeni humu humu ndio najitambulisha rasmi kwenu.
Naombeni ushirikiano kutoka kwenu Watanzania wenzangu.
ASANTENI SANA.
Mimi siko huko unakofikiria, na wala sijawahi kufikiria mtazamo huo.Mimi nikiona mgeni siku za karibuni kajiunga JF najua ni team buku 7 kwani kwa sasa mmezidiwa nguvu so mnarecruit new candidate kwa kasi ya light. Huu ni mfano wa nguvu ya umma. Nyie mnalipwa laikini mnashindwa nguvu na watu wanaojitolea.
Mimi nikiona mgeni siku za karibuni kajiunga JF najua ni team buku 7 kwani kwa sasa mmezidiwa nguvu so mnarecruit new candidate kwa kasi ya light. Huu ni mfano wa nguvu ya umma. Nyie mnalipwa laikini mnashindwa nguvu na watu wanaojitolea.
Mimi nikiona mgeni siku za karibuni kajiunga JF najua ni team buku 7 kwani kwa sasa mmezidiwa nguvu so mnarecruit new candidate kwa kasi ya light. Huu ni mfano wa nguvu ya umma. Nyie mnalipwa laikini mnashindwa nguvu na watu wanaojitolea.