FREE TUNDU LISSUHabari waungwana!
Baada ya miezi kadhaa ya kufuatilia mijadala ya JamiiForums kama guest user sasa leo hii ninejiunga rasmi nanyi humu jukwaani. Naombeni mnipokee. Ahsanteni sana.
@secretaybird njoo hapa.Habari waungwana!
Baada ya miezi kadhaa ya kufuatilia mijadala ya JamiiForums kama guest user sasa leo hii ninejiunga rasmi nanyi humu jukwaani. Naombeni mnipokee. Ahsanteni sana.
Karibu sana mkuu hapa JF (JA) sehemu yenye madini yasiyopatikana popote pale.@secretaybird njoo hapa.
Namkaribisha kwa moyo mkunjufu, mwambie Jamiiforums ni kitalu cha MABICHWA KOMWE a.k.a MABICHWA NAZI, mbili zipo, mbili hazipo.Karibu sana mkuu hapa JF (JA) sehemu yenye madini yasiyopatikana popote pale.
Hapa JF hata kama ulikuwa umepungukiwa na nguvu za kiume basi zitarejea na zitakutapaa kwani mishangazi ya huku inajua kupandisaha ashiki.
BICHWA KOMWE - unamwambia nini mgeni.
Ashindwe mwenyewe sasa.Namkaribisha kwa moyo mkunjufu, mwambie Jamiiforums ni kitalu cha MABICHWA KOMWE a.k.a MABICHWA NAZI, mbili zipo, mbili hazipo.
Huduma zote zinapatikana.
Cc: Mbaga Jr
Asante sana mkuuKaribu sana mkuu
Asante sana mkuuKaribu sana JamiiForums...
Asante sana mkuu,Karibu ukipatwa na shida yoyote humu jukwaani nipigie Tajiri, hakika sina baya nitakutatulia.
Hakika kabisa. Asante sana mkuu kwa mapokeziKaribu sana mkuu hapa JF (JA) sehemu yenye madini yasiyopatikana popote pale.
Hapa JF hata kama ulikuwa umepungukiwa na nguvu za kiume basi zitarejea na zitakutapaa kwani mishangazi ya huku inajua kupandisaha ashiki.
BICHWA KOMWE - unamwambia nini mgeni.
Karibu sana.Hakika kabisa. Asante sana mkuu kwa mapokezi