T twime1129 New Member Mar 24, 2012 2 0 Mar 24, 2012 #1 Nawasalimu wote na nabisha hodi naomba nifunguliwe
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Mar 24, 2012 #3 Karibu sana Comrade hata sie tulikuwa wageni usiwe na shaka
Jumakidogo R I P Jul 16, 2009 1,851 417 Mar 24, 2012 #4 Karibu sana, umetuletea nini kutoka huko mygamma?
apolycaripto JF-Expert Member Feb 11, 2011 644 225 Mar 24, 2012 #5 Karibu ila viatu acha nje Mkuu.Tumeanza na sala na tunamaliza na sala teeee......teeeeh.
Mungi JF Gold Member Sep 23, 2010 16,975 9,566 Mar 24, 2012 #6 Mbona kama mzoefu hivi! Au unakaribisha hii ID? enewey, karibu jf, kama umekuja ki ff soma signature yangu
Mbona kama mzoefu hivi! Au unakaribisha hii ID? enewey, karibu jf, kama umekuja ki ff soma signature yangu
O-man JF-Expert Member Nov 17, 2011 323 65 Mar 24, 2012 #7 Karibu lakini usiache viatu nje. Nyumba imeingiliwa na vibaka. Usiogope.
M Msafiri Kasian JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,133 659 Mar 25, 2012 #10 twime1129 said: Nawasalimu wote na nabisha hodi naomba nifunguliwe Click to expand... "Ndugu mgeni karibu,ila uyaonayo na uyasikiayo yaache hapahapa."(yasiyo paswa kutolewa humu).
twime1129 said: Nawasalimu wote na nabisha hodi naomba nifunguliwe Click to expand... "Ndugu mgeni karibu,ila uyaonayo na uyasikiayo yaache hapahapa."(yasiyo paswa kutolewa humu).
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Mar 26, 2012 #11 Karibu sana mgeni. Ingia tu mpaka bafuni wala usivue viatu.