Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju.
Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?
Mimi ni mgeni humu kutokea maeneo ya Mo Arena Bunju.
Namtafuta mgonjwa wangu muhimu sana tulipotezana uwanja wa taifa baada ya goli la pili kufungwa baina ya Simba na Yanga. Sijui yu hali gani huko aliko?