Hodi hodi wana jf

papaa masikini

Senior Member
Joined
Mar 5, 2011
Posts
176
Reaction score
69
Hello wanajamii!

Hodi hodi wana jamii forums, mimi ni mgeni wenu nimevutiwa sana na maissues yanayojiri ndani, naomba support yenu wakuu!

Nawashukuru
 
Karibu Mkuu katika uwanja wa ma Great Thinkers
 
Oooohh Papa masikini karibu sana mkuu, pita ndani na uanze kumwaga hizo issues.....
 
Pamoja,wakuu...naelekea sehemu mmoja hivi,inaitwa LOLIYONDO,ambako naskia kuna mchungaji ambaye,mwenyezi mungu amemwonyesha tiba,ya magonjwa yote yanayotisha chini ya jua!?
Nikifika huko nami nikahakikisha,licha yakuahadhiwa na watu kibao,ntakuwa na mengi yakushare na wana JF!!
 
Papaa masikini karibu sana!
 
Karibu sana papaa maskini.

Nakutakia safari njema na ukifika huko wasalimie wote. Mengi tunasubiri kusikia toka kwako.Ukipita hapo Arusha usisahau kuwasalimia wana JF wa hapo A town. Usisahau zawadi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…