Pamoja,wakuu...naelekea sehemu mmoja hivi,inaitwa LOLIYONDO,ambako naskia kuna mchungaji ambaye,mwenyezi mungu amemwonyesha tiba,ya magonjwa yote yanayotisha chini ya jua!?
Nikifika huko nami nikahakikisha,licha yakuahadhiwa na watu kibao,ntakuwa na mengi yakushare na wana JF!!