Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 164
uume kuingia ndani yaani kuwa mdogo kama pingili moja ya dole gumba la mkono, uume kusinyaa na kuwa mgumu. Maumivu makali kuanzia kiunoni mpaka mgongoni. Misuli ya mguu kuvuta. Nguvu ya kiume kupungua kwa kasi, NIMEPIMA SINA UGONJWA WOWOTE WA ZINAA. X RAY NA ULTRA SOUND HAKUNA TATIZO LOLOTE. Naombeni
ushauri wenu wa mawazo na tiba. Hasa uume kusinyaa na kuwa mfupi na mgumu. WAKATI MWINGINE NIKIINAMA UNASINYAA NAKUWA MFUPI PIA NIKIFANYA KAYI NGUMU AU KUTEMBEA SANA. Huu ni ugonjwa gani?
ushauri wenu wa mawazo na tiba. Hasa uume kusinyaa na kuwa mfupi na mgumu. WAKATI MWINGINE NIKIINAMA UNASINYAA NAKUWA MFUPI PIA NIKIFANYA KAYI NGUMU AU KUTEMBEA SANA. Huu ni ugonjwa gani?