Hizi ndizo shughuli zinazowapeleka Wachagga Kilimanjaro kila mwaka

Waambie kabisa yaani ukitaka kujua ile maana ya Christimas basi usisite kujongea Moshi kuna tofauti kubwa sana utakayo iona kwanza kuanzia tarehe 18 december ni mwendo wa mapochopocho mpaka january ushindwe mwenyewe na kule hakunaga kadi ni wewe tu na guu lako
 

Ndo akili inakukaa vizur mkuu ya kupambana unadhan hapa dunian tumeumbwa tuje tushangaeshangae kama mashangazi
 
Ni wale wachaga waliolowea mjini wakaa miaka mingi bila kurudi kwao hawana kitu wanaogopa kurudi makwao watachekwa na wazazi ndo nasikia kwao wamepewa jina kyasaka
Mkuu upo sahihi 100% ukiona mchaga anakwambia mimi sipandi mwaka huu...sababu kuu anaona aibu(hana kitu yani). Mchaga akifeli maisha Dar hawez rudi Moshi kirahisi (labda arudi na wa mee sana) lazma atakimbilia mikoa mingine ili kuficha aibu.

Wakati mwingine kuzaliwa mchaga ni kama mzigo yani...ole wako ushindwe maisha...unaweza tolewa sadaka wewe(jokes)
 

Hiv kwa akili yko ilioko hko nyuma nan kakwambia wachaga wanataka vyeo vya Serikalini
au kwa kipind chote cha miaka 5 cha jiwe cha kubambikiza mikesi ya uhujum uchum kwa kila mtu kutoka kila eneo unataka kunambia imewatikisa nini
hyo yote n inferiority complex yko tu hta km mambo yawe magum kama MOTONI watarudi Makwao na watafanya Spending za kufuru mpka watu kama nyie wenye roho ya korosho na mfalme wenu mjibebe mgongon Kama ipo ipo tu.
 
Ndiye yule unaemuimbiaga?
 
Uchagani hata kama ni jambazi lakini ukiionekana unaleta maendeleo kwa wazazi na kwako unaonekana una akili sana.
Ukweli wengi hawaendi kwa uliyosema ila moja wapo ni kwenda kutambiana basi hakuna zaid hasa wamarangu warombo poa sana.
Ila mwaka huu tabia hiyo iliwaponza kidogo na covid ombi langu kwa mwaka huu kama hakuna ulazima bakini mlipo tusubiri ili gonjwa lipite kama ni hela ya kujenga tuma MTATUMALIZA KWA MISIFA YENU
 
Wewe hujui chochote nyamaza.
 
Mbona mm sifanyi mila wala kutambika? Wa Kutambika wapo lakini sio kila anaeenda anafanya hapo makitu
 
Hapo namba 2 hilo la mbuzi wa matambiko, acha kuwafariji makabila ambayo bado yapo gizani. Ni asilimia ndogo sana ya wachaga bado wanafanya huo ushirikina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…